J john mkwara New member Jan 4, 2026 #1 huwa unafikiria nini unapoona kiongozi fulani mwanamke anaongoza sehemu lakini wewe familia yako imekushinda
huwa unafikiria nini unapoona kiongozi fulani mwanamke anaongoza sehemu lakini wewe familia yako imekushinda
Kasomi JT Founder Jan 5, 2026 #2 Huwa nafikiria labda si suala la uwezo, bali ni kipaumbele na nidhamu ya maisha. Anaweza kuwa amejiweka sawa kwenye kazi lakini hajajipanga nyumbani. Yaani nazungumuzia Mwanaume ila sio Mimi Upvote 0 Downvote
Huwa nafikiria labda si suala la uwezo, bali ni kipaumbele na nidhamu ya maisha. Anaweza kuwa amejiweka sawa kwenye kazi lakini hajajipanga nyumbani. Yaani nazungumuzia Mwanaume ila sio Mimi
J john mkwara New member Jan 8, 2026 #3 sasa mbona akina tundu na akina heche wanaona wivu kwa mama kuitawala nchi Upvote 0 Downvote