Wimbo huu wengi wamekuwa wakihusisha kuwa ulikuwa unaielezea Clods Media, wengine Wakisema Luge Mutahaba na wengine wakisema ni JPM (John Pombe Magufuli) kwamba hapo wimbo ulitoka kabla ya Magufuli kufariki ila ni kama alitabiri yatakayo tokea kwa sababu alieleza sifa zake zote.
Lakini kwa...
Sing: Shahidi by Dizasta vina
Nilipanda kwenye jukwaa/
Watu walinishangaa/
Unadhifu wa meli haukufanana na nilivyovaa/
Kabla sijatoa salamu...
Walipoteza hamu ya kuburudika wengine wakaanza kusambaa/
Nilikuwa na nywele nyingi/
Zilionesha pia siku ni nyingi/
Tangu mara ya mwisho ziwekwe MAJI/...
Biashara ya kuuza matumaini
Posted by : Dizasta Vina
HITAJI LA MATUMAINI LINAMEA.
Mwaka 2010 aliyekuwa Askofu mstaafu wa kanisa la kilutheri Tanzania (ELCT), marehemu Ambilikile Mwasapile alitangaza kuwepo kwa dawa inayotibu magonjwa yote ikiwamo magonjwa sugu kama Kisukari, Kansa na Kifua...
FILAMU
Nilipata wasaa wa kuangalia filamu kadhaa mwaka 2024 na hizi ni 5 zilizonivutia zaidi.
1. 12 angry men ya mwaka 1957
Filamu inahusu baraza la waamuzi 12 waliopewa jukumu na mamlaka ya kuamua kesi ya kijana aliyetuhumiwa kumuua mzazi wake. Kesi iliyoonekana ni ya dakika kadhaa tu kwa...
VITABU
Mwaka huu nilisoma vitabu vitatu na hii ndio review yangu kwa ufupi kwa kila kimoja.
1. Ujamaa - Essay on Socialism - The late Julius K. Nyerere
Kitabu kilichapichwa kwa mara ya kwanza mwaka 1961, na kufanyiwa marejeo mara kadhaa na baadaye kutafsiriwa kwa lugha ya kiingereza mwaka 1968...