Advertise here

je wajua

  1. Kasomi

    Je, Wajua noti kubwa ilikuwa Tsh 100 lakini kwa sasa Tsh 10,000 ndio noti kubwa

    Noti kubwa ilikuwa Tsh 100 wakati Mwinyi anaingia madarakani. Miaka 9 baadaye tayari noti kubwa ikawa Tsh 10,000 na Tsh 100 ikawa sarafu ambayo inatumika mpaka sasa kama sarafu Hii ni noti ya Tsh. 100 ya zamani Hii ni noti ya 10,000 ya zamani Na hii ndio Tsh.10,000 ya sasa
  2. Kasomi

    Je, wajua Telegram haina ofisi licha ya kuwa Mtandao Mkubwa

    Makao makuu ya Telegram yapo Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Hata hivyo, Telegram haina ofisi za wazi au rasmi kwa umma kama kampuni nyingine nyingi, kwani waanzilishi wake Pavel Durov na timu yake wanaendesha kampuni kwa mtindo usioegemea nchi moja moja, wakiwa na timu inayofanya kazi...
  3. Kasomi

    Je, wajua Raila Odinga aliwahi kuwa Mtanzania?

    Je, wajua Raila Odinga aliwahi kuwa 'Mtanzania'? Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya hayati Raila Odinga amewahi kuwa na uraia wa Tanzania kwa miaka mitatu. Odinga ambaye alifariki nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu alipewa uraia na hati ya kusafiria (pasipoti) ya Tanganyika, sasa Tanzania...
  4. Kasomi

    Je, wajua kuna Ugonjwa wa mtu kuogopa kusoma neno refu ugonjwa huo kitalaamu huitwa "Hippopotomonstrosesquippedaliophobia"

    Je, wajua kuna Ugonjwa wa mtu kuogopa kusoma neno refu ugonjwa huo kitalaamu huitwa "Hippopotomonstrosesquippedaliophobia" Hippopotomonstrosesquipedaliophobia ni woga wa maneno marefu . Ni neno ambalo lina kejeli zaidi kwa sababu ni neno lenyewe refu lakini pia linaweza kusababisha shambulio la...
  5. Kasomi

    Chukua Hii: Je, wajua kwa nini mchezaji akivua jezi uwanjani anaonyeshwa kadi ya njano?

    Umewahi kujiuliza kwanini mchezaji akivua jezi uwanjani anaonyeshwa kadi ya njano? Huyu ndio mwamba aliyesababisha FIFA kukaa chini na kutunga sheria hiyo; Aliyekuwa mshambuliaji hatari wa Klabu ya Manchester United Diego Forlan katika mchezo wa ligi kuu ya pale Nchini Uingereza ilikuwa ni...
  6. Kasomi

    Je, Wajua? Fahamu mambo haya mbalimbali

    Jewajua.. →✏Nyanya ndo tunda Maarufu zaidi Duniani. Ndizi sio tunda ni mtishamba{Herbs}. →✏Kila Bara linaishia na Herufi iliyoanza nayo mwanzo, mfano: Africa,Europe,Asia.. [*Kwa Kingereza lakini] →✏Maji huwa hayaexpire, expire date ni ya Chupa. →✏Asali ndo Chakula Pekee Kisichoharibika...
  7. Kasomi

    Ulinzi wa Rais wa Korea kaskazini Kim Jong "Kiduku"

    ULINZI WA KIM JONG "KIDUKU". Kama inavyofahamika dhahiri kuwa ni vigumu kwa mwanga wa mshumaa kudumu katikati ya upepo wa kimbunga unaoangusha maghorofa; vivyo hivyo ni vigumu hata kwa ‘inzi’ mwenye nia ovu kumsogelea Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Huyu ni kiongozi ambaye vyombo...
Back
Top