Advertise here

Je, Wajua noti kubwa ilikuwa Tsh 100 lakini kwa sasa Tsh 10,000 ndio noti kubwa

Kasomi

JT Founder
Noti kubwa ilikuwa Tsh 100 wakati Mwinyi anaingia madarakani.
Miaka 9 baadaye tayari noti kubwa ikawa Tsh 10,000 na Tsh 100 ikawa sarafu ambayo inatumika mpaka sasa kama sarafu

Hii ni noti ya Tsh. 100 ya zamani
hq720.jpg


Hii ni noti ya 10,000 ya zamani
1768163712703.jpg


Na hii ndio Tsh.10,000 ya sasa
Tanzania 10,000 Shillings Banknote, 2020, P-44c, UNC.jpg
 

Similar threads

Back
Top