NECTA imetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026
Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 6/7/2026 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mwezi Mei, 2026.
Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA
Bonyeza Hapa kutazama...