Advertise here

kidato cha sita

  1. Kasomi

    New Alert: NECTA imetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026

    NECTA imetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026 Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 6/7/2026 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mwezi Mei, 2026. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA Bonyeza Hapa kutazama...
  2. Kasomi

    New Alert: NECTA imetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025

    Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 7/7/2025 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mwezi Mei, 2025. Asilimia 99.95 Wafaulu Mtihani wa Kidato cha Sita 2025 Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA Bonyeza Hapa kutazama matokeo
  3. Kasomi

    Baraza la Mitihani Tanzania NECTA limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha Sita na Ualimu inayotarajiwa kuanza Kesho Jumatatu Mei 5, 2025

    Baraza la Mitihani Tanzania NECTA limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha Sita na Ualimu inayotarajiwa kuanza Kesho Jumatatu Mei 5, 2025 nchi nzima Akizungumza na wanahabari Jijini Dar es salaam Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini (NECTA) Dkt. Said Mohammed amesema jumla ya...
  4. G

    Mtihani wa Taifa wa kidato cha Sita kuanza kesho; NECTA yatoa angalizo mtihani wa kidato cha sita.

    Necta yatoa angalizo mtihani wa kidato cha sita. Jumla ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani yao ya kumaliza kidato ya sita kesho Jumatatu Mei 9, 2022 na kumaliza Mei 27. Pia watahiniwa 9,670 kutoka vyuo 70 wamesajiliwa...
Back
Top