Advertise here

New Alert: NECTA imetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025

Kasomi

JT Founder
IMG-20250707-WA0004.jpg

Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 7/7/2025 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) na Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mwezi Mei, 2025.

Asilimia 99.95 Wafaulu Mtihani wa Kidato cha Sita 2025

Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA
Bonyeza Hapa kutazama matokeo
 
Back
Top