Mtu anayetungisha mimba wenye chupa maabara ana hatia mbele ya Mungu au la
Kwanza ni muhimu kufahamu nini maana ya watoto wa kwenye chupa.
Ikitokea mama anakuwa ana mayai lakini anapata shida kushika mimba, huwa kuna uwezekano wa kuyatoa mayai yake kutoka kwenye uzazi na kuyaweka kwenye kifaa...
Saikolojia: Ukimpenda mtu ni ngumu kuacha kumpenda.
Mapenzi huchochea sehemu ya ubongo inayohusika na uraibu.
Homoni za Dopamine na Oxytocin hutengeneza "tuzo" ya kihisia, hivyo unapojaribu kuacha, ubongo unapata hali ya "withdrawal" (shauku kali ya kuzidi kumtaka huyo mtu) sawa na mtu...