Advertise here

namba

  1. Kasomi

    WhatsApp kuanza kutumia usernames utaweza wasiliana na watu bila kuwapa namba yako

    Baada ya miaka mingi ya kusubiri na miezi kadhaa ya maandalizi, mtandao wa WhatsApp umeanza rasmi kuruhusu watumiaji wake kote ulimwenguni kutumia majina yao ya kipekee ya watumiaji @username kama ilivyo kwa Instagram, X na mitandao mingine. Kwa muda mrefu, namba ya simu ndiyo imekuwa njia...
  2. Kasomi

    Zifahamu namba za huduma za Dharura nchini

    Zifahamu namba za huduma za Dharura nchini. Mamlaka la Mawasiliano Tanzania (TCRA) inashughulika katika kupanga, kutenga na kugawa rasilimali namba za mawasiliano ikiwemo namba maalum za dharura.
  3. Kasomi

    Maana ya Namba na Herufi zilizopo Kwenye Tairi la Gari?

    Matairi mengi ya kisasa yana namba ambazo hubeba taarifa muhimu na tofauti lakini watu wengi huwa hawana uelewa wa namna ya kuzisoma, kuzitafsiri na kuelewa maana ya namba hizo. Leo tuanze na alama ya kiwango cha kasi (speed rating), inayoonyesha kasi ya juu ambayo tairi linaweza kuhimili bila...
  4. Kasomi

    Forbes: Mo Dewji ndiye tajiri namba moja Afrika Mashariki

    Jarida la Forbes la Marekani toleo jipya la 2026 limetaja Mohammed Dewji, Mfanyabiashara mashuhuri nchini Tanzania kama tajiri nambari moja kwa nchi za Afrika Mashariki akiwa na utajiri wa Dola za Kimarekani Bilioni 2.1. Kwa upande wa bara la Afrika, Dewji mwenye miaka 50 anashikilia nafasi ya...
  5. Kasomi

    Usipotumia namba yako ya simu kwa siku 90 mfululizo bila kutoa taarifa kwa mtoa huduma wako, ana haki ya kuifunga na kuiuza kwa mtumiaji mwingine

    Je, wajua Usipotumia namba yako ya simu kwa siku 90 mfululizo bila kutoa taarifa kwa mtoa huduma wako, ana haki ya kuifunga na kuiuza kwa mtumiaji mwingine. Ikiwa hautatumia laini yako ya simu kwa kipindi cha siku 90 mfukulizo, toa taarifa kwa mtoa huduma wako ili kuepuka kufungiwa au namba...
  6. Kasomi

    NIDA Yazindua Namba 15274 Kufuatilia Kitambulisho cha Taifa

    Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) imezindua namba maalum ya ufuatiliaji wa vitambulisho vya taifa ikiwa ni sehemu ya maboresho ya utoaji wa huduma kwa wananchi. KUFAHAMU: Kama Kitambulisho chako cha Taifa kimechapishwa. Mwombaji anatakiwa kutuma ujumbe mfupi wa simu (sms) kama...
  7. Kasomi

    Shule 10 Ghali Zaidi Afrika, Namba Moja Itakushangaza

    Inawezekana uwa unajiuliza ni zipi shule ghali zaidi Afrika kwa kipindi kirefu sasa, Usijali leo tunakujuza shule kumi ghali zaidi katika ukanda wetu wa Afrika pamoja na Ada zake; 10. American international school, Zambia (annual fee 22,070$) Shule ya Kimataifa ya Marekani ya Lusaka (AISL) ni...
  8. Kasomi

    HESLB: Tunatarajia kufungua dirisha la maombi ya Mkopo mwezi Juni, 2025 kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026

    "Tunatarajia kufungua dirisha la maombi ya mkopo mwezi Juni, 2025... kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 ... namba ya utambulisho wa taifa (NIN) itakuwa hitaji la lazima katika maombi ya mkopo ...waombaji wote wanapaswa kuwa na namba hii"
  9. Kasomi

    Namba ya NIDA kigezo kipya Cha Mkopo Elimu ya juu (HESLB)

    Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia, amesema kuwa namba ya utambulisho wa taifa itakuwa ni ya lazima katika kuomba mkopo kwa mwaka ujao wa masomo. “Tunatarajia kufungua dirisha la maombi ya mkopo mwezi Juni, 2025… kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 namba ya utambulisho wa taifa itakuwa...
  10. Kasomi

    Simba yatoa pongezi Mohammed Dewji kutajwa na Forbes kuwa Tajiri namba 12 barani Afrika

    Klabu ya Simba SC imetoa pongezi kwa Mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji, kwa kutajwa na Jarida la Forbes kama tajiri namba moja Afrika Mashariki na namba 12 barani Afrika, katika orodha yake ya matajiri wa dunia kwa mwaka 2025. Jarida la Forbes (2025) limemweka mfanyabiashara maarufu wa...
  11. Kasomi

    Mohammed Dewji (Mo Dewji) Tajiri Namba 12 Afrika na wa 1 Afrika Mashariki

    Jarida la Forbes (2025) limemtaja Manyabiashara wa Tanzania Mohamed Dewjl, kuwa miongoni mwa watu matajiri duniani, akiwa na utajiri wa USD 2.2 bilioni sawa na Tsh 5.7 trillioni. Mo, anakuwa tajiri namba 12 Afrika na namba moja Afrika Mashariki kwa utajiri huo. 2. Orodha ya mwaka huu inaonyesha...
  12. Kasomi

    Jinsi ya kupata namba za simu ulizo poteza kwa kutumia facebook

    Je, wajua kwa kutumia Mtandao wa Facebook unaweza pata namba ulizo poteza? Hatua ya kwanza kama huna Facebook Lite basi install Facebook Lite Maana hii inatumika kupata namba zako. Baada ya kuinstall au kama una Facebook Lite basi log in kwenye account yako ya awali ili kupata namba ulizokuwa...
Back
Top