Kasomi JT Founder May 17, 2026 #1 Zifahamu namba za huduma za Dharura nchini. Mamlaka la Mawasiliano Tanzania (TCRA) inashughulika katika kupanga, kutenga na kugawa rasilimali namba za mawasiliano ikiwemo namba maalum za dharura.
Zifahamu namba za huduma za Dharura nchini. Mamlaka la Mawasiliano Tanzania (TCRA) inashughulika katika kupanga, kutenga na kugawa rasilimali namba za mawasiliano ikiwemo namba maalum za dharura.