Mwanaume mmoja aitwaye Gal Gony Gatluak, mhitimu wa Shahada ya Uhasibu na Fedha, huko Sudan Kusini, amejikuta akiingia kwenye biashara ya uuzaji wa mkaa jijini Juba baada ya kutuma maombi ya kazi 47 bila mafanikio.
Gony, mwenye umri wa miaka 38, anasema licha ya kuwa na uzoefu wa kazi katika...