Simulizi
Member
MASTER OF SNACKS 
01
MTUNZI; HUSQER BALTAZAR
0657762790
Nimezaliwa katika familia where my twin brother alikuwa na akili mingi sana kuliko hata robot za Elon musk
But niseme nini
haikuwa bahati yake kupewa awards ya mwanafunzi bora.
Alipoteza maisha baada ya kupewa taarifa za kuibiwa kwa Kitabu Cha Vitafunwa kilichoandikwa na Baba yetu
Tuliweza kupika snacks nzuri kwa kutumia kitabu hiki na hata tukatengeneza jina...... ilikuwa ni heri familia yote ipoteze maisha lakini siyo kitabu
Ni miaka 7 sasa imepita tangu Kitabu Cha Vitafunwa kipotee na roho ya my twin brother
Sultana Mimi si mtu wa kukata tamaa....niliendelea kupika vitafunwa mbalimbali bila msaada wa kitabu
huu ni kijiahidi ipo siku nitakirudisha mikononi mwangu
Kwa sababu ya upishi wangu mzuri watu wengi waliniita Master of Snacks
wengine waliniita dine diva....I was so impressive 
Siku ya leo naiweza kuiita Blue Monday
can you imagine Wanajeshi wapatao 80 walikuja hapa kuonja taste ya snacks zangu 
Niliwazuia Wateja ya kawaida nikijua leo Sultana Mimi nitatengeneza pesa. I never thought kama hawa watu huwa wana tabasamu
....utamu wa snacks zangu uliwatolea nyongo ya makasiriko
"Naitwa Sultana....naweza kupika snacks hata nikiwa usingizini, uwezo wangu ni mkubwa kupita kiasi na hii ndio sababu naitwa Master of Snacks

" Niliongea baada ya kuona watu hawa wanakaribia kumaliza vitafunwa vyao....ni kama nilikuwa na wakumbusha kulipa kabla ya kuondoka
"Ahsante kwa huduma yako nzuri....tutaonana kwa wakati mwingine
" Mmoja wa Wanajeshi aliongea akitaka kuondoka lakini nilimzibia njia
''kuhusu malipo hatukuelekezwa.... General wetu katupa amri tuje kunywa chai tu, uwezo wa kukulipa tunao but kwa kuwa hakutaja malipo hatuwezi kulipa
" Mwanajeshi mwingine aliongea
Friends
nilisikia maumivu makali ndani ya moyo wangu as if Masai kanichoma mkuki akihisi Mimi ni mbweha
"Sielewi kwanini umekuwa na colour ya blue ghafla tusamehe, lakini hatukuelekezwa kulipa
, tuondokeni" Mwanajeshi mwingine aliongea kisha wakaanza kuondoka
"Nyie mbwa naomba mnisikilize kwa umakini....naitwa Sultana, master of snacks. Go and tell your General kuwa ni ms*nge
....na kwa sababu mmekula bure kwa sababu ya amri yake atalipa kwa kubakwa na Mimi, No...nikimbaka nitakuwa nimemhurumia sana nitamf*ra
" Niliongea nikiwa na hasira kupita kiasi
Wanajeshi wote walirudi wakaniweka mtu kati.....sura zao zilikuwa nyeusi kupita kiasi, nilijikuta nikiona usiku ilihali ilikuwa ni saa nne asubuhi
Folks
nilishikiwa bastola, kilo zangu Mimi ni 42
kama watanipiga risasi am not sure kama maiti yangu itaonekana
Suddenly, pua zangu zilinusa harufu nzuri ya marashi....
"Kitu gani hicho mnafanya?....niliwaagiza kunywa chai tu na si kushikia mtu silaha....pigeni magoti
" Sauti ilisikika
Wanajeshi wote walipiga magoti, nilinyanyua kichwa changu ni mtazame mtu aliyetuma hawa mbwa waje kula bure as if Mimi ni shemeji yao
"Njoo unif*re....wakati una bweka nilikuwa mlangoni...
" Kabla hata sijamtazama usoni niliambiwa hivi, kilichonishtua zaidi ni baada ya kushuhudia suruali yake imedondoka chini....means amevua nimf*re
Imeandaliwa na Baby Smile whatsap-vodacom 0794-440-997 | Mwita Magesa
Itaendelea
MTUNZI; HUSQER BALTAZAR
0657762790
Nimezaliwa katika familia where my twin brother alikuwa na akili mingi sana kuliko hata robot za Elon musk
But niseme nini
Alipoteza maisha baada ya kupewa taarifa za kuibiwa kwa Kitabu Cha Vitafunwa kilichoandikwa na Baba yetu
Tuliweza kupika snacks nzuri kwa kutumia kitabu hiki na hata tukatengeneza jina...... ilikuwa ni heri familia yote ipoteze maisha lakini siyo kitabu
Ni miaka 7 sasa imepita tangu Kitabu Cha Vitafunwa kipotee na roho ya my twin brother
Sultana Mimi si mtu wa kukata tamaa....niliendelea kupika vitafunwa mbalimbali bila msaada wa kitabu
Kwa sababu ya upishi wangu mzuri watu wengi waliniita Master of Snacks
Siku ya leo naiweza kuiita Blue Monday
Niliwazuia Wateja ya kawaida nikijua leo Sultana Mimi nitatengeneza pesa. I never thought kama hawa watu huwa wana tabasamu
"Naitwa Sultana....naweza kupika snacks hata nikiwa usingizini, uwezo wangu ni mkubwa kupita kiasi na hii ndio sababu naitwa Master of Snacks
"Ahsante kwa huduma yako nzuri....tutaonana kwa wakati mwingine
''kuhusu malipo hatukuelekezwa.... General wetu katupa amri tuje kunywa chai tu, uwezo wa kukulipa tunao but kwa kuwa hakutaja malipo hatuwezi kulipa
Friends
"Sielewi kwanini umekuwa na colour ya blue ghafla tusamehe, lakini hatukuelekezwa kulipa
"Nyie mbwa naomba mnisikilize kwa umakini....naitwa Sultana, master of snacks. Go and tell your General kuwa ni ms*nge
Wanajeshi wote walirudi wakaniweka mtu kati.....sura zao zilikuwa nyeusi kupita kiasi, nilijikuta nikiona usiku ilihali ilikuwa ni saa nne asubuhi
Folks
Suddenly, pua zangu zilinusa harufu nzuri ya marashi....
"Kitu gani hicho mnafanya?....niliwaagiza kunywa chai tu na si kushikia mtu silaha....pigeni magoti
Wanajeshi wote walipiga magoti, nilinyanyua kichwa changu ni mtazame mtu aliyetuma hawa mbwa waje kula bure as if Mimi ni shemeji yao
"Njoo unif*re....wakati una bweka nilikuwa mlangoni...
Imeandaliwa na Baby Smile whatsap-vodacom 0794-440-997 | Mwita Magesa
Itaendelea