Kasomi
JT Founder
HABARI Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepokea barua kutoka katika vyama vya siasa 14 vikieleza tarehe na muda ambao wanachama wao waliopendekezwa kugombea nafasi ya Urais na Umakamu wa Rais watafika kuchukua fomu za uteuzi katika ofisi za Tume zilizopo eneo la Njedengwa, Dodoma.
CCM – Saa 5:00 Asubuhi
NRA – Saa 8:00 Mchana
AAFP – Saa 10:00 Jioni
4. MAKINI – Saa 3:00 Asubuhi
5. NLD – Saa 6:00 Mchana
6. UPDP – Saa 9:00 Jioni
7. ADA–TADEA – Saa 3:00 Asubuhi
8. UMD – Saa 6:00 Mchana
9. TLP – Saa 9:00 Jioni
10. CCK – Saa 3:00 Asubuhi
11. CHAUMMA – Saa 6:00 Mchana
12. ADC – Saa 9:00 Jioni
13. Democratic Party (DP)
14. NCCR – Mageuzi
CREDIT; Nipashe Digital
Chanzo: EastAfricaTV