Advertise here

chuo

  1. Kasomi

    Muonekano wa Chuo cha Uhasibu Arusha - IAA

    Tazama video ya Muonekano wa Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA)
  2. Kasomi

    Justinian Rweyemamu Mtanzania wa Kwanza Kupata Shahada ya Uzamivu (PhD) Kutoka Chuo cha Harvard

    MTANZANIA WA KWANZA KUPATA SHAHADA YA UZAMIVU (PhD) KUTOKA CHUO KIKUU MAARUFU DUNIANI CHA HARVARD Pichani ni Justinian Rweyemamu ndiye Mtanzania wa kwanza kupata Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu maarufu duniani cha Harvard. Justinian Rweyemamu alikuwa bingwa wa hesabu, uchumi na...
  3. Kasomi

    Je, unafahamu Rais wa Uganda Yoweri Museveni alifundisha Chuo cha Ushirika Moshi (MoCU) na pia alisoma UDSM

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni alifundisha Chuo cha Ushirika Moshi na pia ashawahi kusoma UDSM Elimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Museveni alisoma Shahada ya Uchumi na Sayansi ya Siasa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania (1967–1970). Hapo ndipo alipoanza harakati za...
  4. Kasomi

    Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kimeibuka kidedea katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo kwa Vyuo vya Elimu ya Juu (SHIMIVUTA)

    IAA YANG'ARA SHIMIVUTA 2025 Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kimeibuka kidedea katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo kwa Vyuo vya Elimu ya Juu (SHIMIVUTA) mkoani Tabora. Katika mashindano hayo IAA imefanikiwa kutwaa makombe 11 , moja likiwa ni la mshindi wa jumla (overall winner na 10 ni ya...
  5. Simulizi

    MASOMO yangu ya Chuo Kikuu niliyasoma kimachale sana

    Anaandika Mdau, TBT⏩MASOMO yangu ya Chuo Kikuu niliyasoma kimachale sana! Sikuwahi kukaa hostel za wanafunzi labda kipindi cha mitihani au nilipopigwa sup (supplimentary). Nilihakikisha sidisco lakini ukweli kabisa sikuwa na morali ya kusoma kama ambavyo nilikuwa nasoma nikiwa kidato cha 1 hadi...
  6. Kasomi

    Jinsi ya Kujisajili kwenye Mfumo wa Chuo cha Uhasibu Arusha IAA kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza

    Maelezo Kuhusu Kujisajili kwenye Mfumo wa Chuo cha IAA kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza Kwa mwanafunzi mpya wa mwaka wa kwanza katika Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), unapaswa kujisajili rasmi kwenye mfumo wa chuo ili kuweza kukamilisha usajili kabla au baada ya kufika chuoni Ili kujisajili...
  7. Kasomi

    TANZIA William Bamaga Mwanafunzi wa Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) inadaiwa kuuliwa na Abeli kisa uhusiano wa mapenzi na mdogo wake

    HABARI Kijana anayejulikana kwa jina la Abel anadaiwa kumuua mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) aitwaye William Bananga (Pichani) akimtuhumu kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na mdogo wake wa kike Inaelezwa kuwa jambo hilo lilimkasirisha na kumfanya achukue hatua za kumchoma kisu...
  8. Kasomi

    UniCorner Myths kuhusu maisha ya chuo

    Myths kuhusu maisha ya chuo Hahhahaha! Make hapa kwanza ncheke, natumai ni wazima wa afya watu wangu wa nguvu, leo basi katika UniCorner tumekuja na mada konki kabisa, I hope wengi wenu itawajenga zaidi katika maisha mapya ya chuoni. Hakuna kitu ambacho hautakisikia kuhusu hatua yoyote...
  9. Kasomi

    VYUO 20 BORA NCHINI TANZANIA 2022

    VYUO 20 BORA NCHINI TANZANIA 2022 1. University Of Dar es Salaam (UDSM) 2. Sokoine University of Agriculture (SUA) 3.Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS) 4. University of Dodoma (UDOM) 5. Catholic University of Health and Allied Science (BUGANDO) 6. Open University of...
  10. Kasomi

    Prof. Mjema amefanya mazungumzo na Wahandiri wa Chuo cha Maria Curie-Skłodowska University (UMCS) kutoka nchini Poland

    Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emanuel Mjema amefanya mazungumzo na Wahandiri wa Chuo cha Maria Curie-Skłodowska University (UMCS) kutoka nchini Poland Prof. Pawel Pasierbiak, Prof. Mariusz Kicia, Dr. Jakub Czerniak na Dr. Konrad Czernichowski. Mazungumzo hayo yalilenga...
  11. Kasomi

    Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania)

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (kwa Kiingereza: Open University of Tanzania) ni chuo kikuu kinachotoa kozi za cheti, stashahada na shahada kupita masomo ya mbali (Distance Learning). Makao makuu yako Dar es Salaam, Tanzania. Chuo Kikuu Huria kina takribani wanafunzi 70,000 kutoka ngazi mbalimbali...
Back
Top