KUDOS, RADIO ONE STEREO
Mwaka 1993, Mfanyabiashara Mzalendo Reginald Abraham Mengi alianzisha kituo binafsi cha redio nchini kiitwacho Radio One.
Kuanzishwa kwa kituo hicho, kikitanguliwa na kituo cha kwanza binafsi nchini cha Radio Tumaini, kulileta mapinduzi makubwa katika sekta ya habari...