Mtoto wa Gwiji wa soka duniani Ronaldo Jr ameripotiwa kuwa anaruhusiwa kuchagua timu yoyote ya taifa atakayocheza kuanzia Sasa akiwa na umri wa miaka 14.
Ronaldo Jr ana mataifa matano ambayo atatakiwa achague moja, mataifa hayo ni kama yafuatayo:
USA Portugal Cape Verde Spain England
Kwa mujibu wa 'MARCA' Ronaldo Jr ataifanya maamuzi hivi karibuni.