Kasomi
JT Founder
Tunashukuru kwa maoni, Mapendekezo, ushauri na mapendekezo yenu na mijadala inayoendelea hapa kila siku kuhusu masuala ya Maboresho ya Jukwaa la JamiiTalk .
Kupitia thread hii maalumu; tutapokea maoni, ushauri na hata malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi na tutafanyia kazi.
Unaweza kututumia pia Private Message (PM) na utajibiwa kwa haraka sana kwa Mmoja wa JamiiTalk's Staff members .
Pia unaweza wasiliana na @JamiiTalk kama JamiiTalk official Support kwa msaada zaidi
Tutafanyia kazi Maoni yenu.
Kupitia thread hii maalumu; tutapokea maoni, ushauri na hata malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi na tutafanyia kazi.
Unaweza kututumia pia Private Message (PM) na utajibiwa kwa haraka sana kwa Mmoja wa JamiiTalk's Staff members .
Pia unaweza wasiliana na @JamiiTalk kama JamiiTalk official Support kwa msaada zaidi
Tutafanyia kazi Maoni yenu.