Advertise here

KINANA Achaguliwa Kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara

Kasomi

JT Founder
FB_IMG_1648808101217.jpg

KINANA ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI CCM BARA

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wamemchagua Abdulrahman Kinana kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa kura za ndiyo 1875

Wajumbe waliopiga kura ni 1875, hakuna za hapana wala zilizoharibika

Soma -
 

Similar threads

Back
Top