Advertise here

Je, Unafahamu Kuwa Tanzania Tuliwahi Kutumia Noti Za Shilingi 100 Za Aina 10 Tofauti

Kasomi

JT Founder
ULIWAHI KULIJUA HILI?
Tanzania Tuliwahi Kutumia Noti Za Shilingi 100 Za Aina 10 Tofauti Kutoka Mwaka 1966 Mpaka Kufikia Mwaka 1994 Ambapo Noti Ya Shilingi 100 Ilibadilishwa Na Kuwa Sarafu!!
1768164518117.jpg
 

Similar threads

Back
Top