J john mkwara New member Jan 3, 2026 #1 kila la kheri timu yetu ya taifa huko moroko ni ngumu kusema watarudi na kombe ila wataacha alama kwa maoni yangu je kwa upande wako wewe kocha afanye nini ili awashangaze wabongo.
kila la kheri timu yetu ya taifa huko moroko ni ngumu kusema watarudi na kombe ila wataacha alama kwa maoni yangu je kwa upande wako wewe kocha afanye nini ili awashangaze wabongo.