Kasomi
JT Founder
UTOFAUTI KATI YA FIXED ASSETS NA REAL ESTATE PROPERTY
Watu wengi huchanganya maneno haya mawili kwa sababu yanafanana, lakini hayamaanishi kitu kimoja.
Ukweli ni kwamba real estate ni sehemu ya fixed assets, lakini fixed assets si zote ni real estate.
Utofauti wa haya unatokana na mambo na sifa zilizopo kati ya fixed assets na real estate property.
Fixed Assets (Mali zisizobadilika) ni mali zote unazomiliki kwa muda mrefu (zaidi ya mwaka mmoja) na zinakusaidia kuishi, kufanya kazi, au kupata mapato, lakini hazikukusudiwa kuuzwa haraka.
Mifano ya Fixed Assets
Ardhi
Nyumba
Magari
Mashine za uzalishaji
Samani za ofisini
Kompyuta na vifaa vya kazi
Software au brand (intangible assets)
Kwa hiyo fixed assets ni kundi kubwa la mali.
Lakini,
Real estate property ni mali zinazohusiana na ardhi na vitu vilivyopo hapo juu au chini yake. Hii ni mali isiyohamishika (immovable property) na inaweza kujumuisha:
Ardhi yenyewe – eneo la makazi, shamba, au kiwanja cha biashara.
Majengo yaliyomo juu ya ardhi – nyumba, ofisi, maduka, viwanja vya biashara, ghorofa.
Vitu vilivyokamilisha ardhi (improvements) – barabara za ndani, fencing, umeme, mitaro, mabomba ya maji, au miundo mingine iliyojengewa ardhi.
Haki zinazohusiana na ardhi – kama lease (leseni ya kutumia ardhi), rights of way (haki ya kutumia njia ya ardhi), au mineral rights (haki za madini chini ya ardhi).
Unachotakiwa kujua ni kwamba Kila real estate ni fixed asset
Lakini si kila fixed asset ni real estate
Mfano:
Ardhi = Fixed asset
+ Real estate 
Nyumba = Fixed asset
+ Real estate 
Gari = Fixed asset
lakini
si real estate
Mashine = Fixed asset
lakini
si real estate
Fixed Assets
Hutoa mchanganyiko wa mapato na matumizi
Baadhi huleta pesa haraka (gari, mashine)
Baadhi hupungua thamani (depreciation)
Zinahitaji matengenezo ya mara kwa mara
Lakini.
Real Estate Property
Hutoa usalama wa muda mrefu
Thamani huongezeka kadri miaka inavyokwenda
Ni rahisi kutumia kama dhamana ya mkopo
Ni uwekezaji wa vizazi (legacy investment)
Mfano,
Naytham ana Ardhi Kibaha,
Nyumba ya kupangisha Tegeta,Gari la biashara.
Tutasema Naytham mali zake zote tatu ni fixed assets, lakini mbili tu ni real estate.
Nyumba na Ardhi ni Real estate,Gari la biashara ni fixed assets.
Fixed assets ni msingi wa uchumi wa mtu binafsi au biashara
Real estate ni moyo wa fixed assets kwa sababu ya uimara wake
Hivyo Mwekezaji mwenye akili anachanganya uwekezaji aina zote mbili ili kupata usalama wa muda mrefu na
Kutengeneza mapato ya mara kwa mara.
Kwa lugha rahisi ni sahihi kusema,
Fixed assets zinakupa nguvu ya leo, real estate inakupa uhakika wa kesho.
Je,unamiliki Fixed assets?
Hakikisha unamiliki fixed assets kuna faida lukuki ikiwa wewe ni mwekezaji.
Credit: Naytham Masoud
Watu wengi huchanganya maneno haya mawili kwa sababu yanafanana, lakini hayamaanishi kitu kimoja.
Ukweli ni kwamba real estate ni sehemu ya fixed assets, lakini fixed assets si zote ni real estate.
Utofauti wa haya unatokana na mambo na sifa zilizopo kati ya fixed assets na real estate property.
Fixed Assets (Mali zisizobadilika) ni mali zote unazomiliki kwa muda mrefu (zaidi ya mwaka mmoja) na zinakusaidia kuishi, kufanya kazi, au kupata mapato, lakini hazikukusudiwa kuuzwa haraka.
Mifano ya Fixed Assets
Ardhi
Nyumba
Magari
Mashine za uzalishaji
Samani za ofisini
Kompyuta na vifaa vya kazi
Software au brand (intangible assets)
Kwa hiyo fixed assets ni kundi kubwa la mali.
Lakini,
Real estate property ni mali zinazohusiana na ardhi na vitu vilivyopo hapo juu au chini yake. Hii ni mali isiyohamishika (immovable property) na inaweza kujumuisha:
Ardhi yenyewe – eneo la makazi, shamba, au kiwanja cha biashara.
Majengo yaliyomo juu ya ardhi – nyumba, ofisi, maduka, viwanja vya biashara, ghorofa.
Vitu vilivyokamilisha ardhi (improvements) – barabara za ndani, fencing, umeme, mitaro, mabomba ya maji, au miundo mingine iliyojengewa ardhi.
Haki zinazohusiana na ardhi – kama lease (leseni ya kutumia ardhi), rights of way (haki ya kutumia njia ya ardhi), au mineral rights (haki za madini chini ya ardhi).
Unachotakiwa kujua ni kwamba Kila real estate ni fixed asset
Lakini si kila fixed asset ni real estate
Mfano:
Ardhi = Fixed asset
Nyumba = Fixed asset
Gari = Fixed asset
Mashine = Fixed asset
Fixed Assets
Hutoa mchanganyiko wa mapato na matumizi
Baadhi huleta pesa haraka (gari, mashine)
Baadhi hupungua thamani (depreciation)
Zinahitaji matengenezo ya mara kwa mara
Lakini.
Real Estate Property
Hutoa usalama wa muda mrefu
Thamani huongezeka kadri miaka inavyokwenda
Ni rahisi kutumia kama dhamana ya mkopo
Ni uwekezaji wa vizazi (legacy investment)
Mfano,
Naytham ana Ardhi Kibaha,
Nyumba ya kupangisha Tegeta,Gari la biashara.
Tutasema Naytham mali zake zote tatu ni fixed assets, lakini mbili tu ni real estate.
Nyumba na Ardhi ni Real estate,Gari la biashara ni fixed assets.
Fixed assets ni msingi wa uchumi wa mtu binafsi au biashara
Real estate ni moyo wa fixed assets kwa sababu ya uimara wake
Hivyo Mwekezaji mwenye akili anachanganya uwekezaji aina zote mbili ili kupata usalama wa muda mrefu na
Kutengeneza mapato ya mara kwa mara.
Kwa lugha rahisi ni sahihi kusema,
Fixed assets zinakupa nguvu ya leo, real estate inakupa uhakika wa kesho.
Je,unamiliki Fixed assets?
Hakikisha unamiliki fixed assets kuna faida lukuki ikiwa wewe ni mwekezaji.
Credit: Naytham Masoud