FUTURE PRESIDENT
Member
Wameshindwa kumzuia asigombee na Sasa anachanja mbuga na wote tunaimba kibwagizo "KAZI na utu,tunasonga mbele" kufeli Kwa matarajio yao tutarajie:-
1.Namba mbili atakae apishwa nae ndio tumaini lao!!?kulikua na tetesi kwamba walinda mipaka wanamkubali kwamba ye ni mzalendo,pia yule mkurugenzi wa usalama n rafiki yake wa karibu kifupi hawajakutana barabarani hadi kule Brazil walikua pamoja!
2.wagombea wa vyama vidogo waliopo waanze ku rest in peace kama delaying tactic ya uchaguzi kutofanyika kwa siku sitini sitini takriban miezi miwili miwili,Ili mtia Nia na kampeni zake zidode na kumuondolea umaarufu pia kumchosha skate tamaa,delaying mechanism isaidie due process ndani ya chama ili apatikane mwingine!!?
3.Ndugu Luhaga mpina ashinde pingamizi lake la kutogombea na agombee awe plan kuu ya wazee was kimedani,kwamba akishinda apewe!coz anakubalika kama mwanamme kutoka Kanda ya ziwa na mtanganyika ajizolee kura za kutosha plus sarakasi za kimedani Ili aapishwe nankuunda serikali ya mseto nchini!!
4.serikali ya mseto Kwa ushindi wa mgombea wa Chama tawala Ili kupunguza joto la free run election kama inavyojulikana kimataifa!!?
Je unafikiri imeshaameiwa kwamba no business as usual yaani free run kwake Hadi 2030 au bado no untill further notice!!!?
We waonaje!!?
KAZI na utu tuna songa mbele!!
1.Namba mbili atakae apishwa nae ndio tumaini lao!!?kulikua na tetesi kwamba walinda mipaka wanamkubali kwamba ye ni mzalendo,pia yule mkurugenzi wa usalama n rafiki yake wa karibu kifupi hawajakutana barabarani hadi kule Brazil walikua pamoja!
2.wagombea wa vyama vidogo waliopo waanze ku rest in peace kama delaying tactic ya uchaguzi kutofanyika kwa siku sitini sitini takriban miezi miwili miwili,Ili mtia Nia na kampeni zake zidode na kumuondolea umaarufu pia kumchosha skate tamaa,delaying mechanism isaidie due process ndani ya chama ili apatikane mwingine!!?
3.Ndugu Luhaga mpina ashinde pingamizi lake la kutogombea na agombee awe plan kuu ya wazee was kimedani,kwamba akishinda apewe!coz anakubalika kama mwanamme kutoka Kanda ya ziwa na mtanganyika ajizolee kura za kutosha plus sarakasi za kimedani Ili aapishwe nankuunda serikali ya mseto nchini!!
4.serikali ya mseto Kwa ushindi wa mgombea wa Chama tawala Ili kupunguza joto la free run election kama inavyojulikana kimataifa!!?
Je unafikiri imeshaameiwa kwamba no business as usual yaani free run kwake Hadi 2030 au bado no untill further notice!!!?
We waonaje!!?
KAZI na utu tuna songa mbele!!