Advertise here

Samantha Smith kijana mdogo aliyeleta mabadiliko Duniani

Kasomi

JT Founder
Samantha-Smith-with-letter-from-Andropov-1658247941.jpg

Samantha Smith alikuwa mwanafunzi msichana Mmarekani kutoka eneo la Maine. Alizaliwa mwaka 1972 na kufariki 1985. Katika mwaka 1982, salimuandikia barua kiongozi wa Muungano wa Usovieti , Yuri Andropov, akimuuliza ni kwanini uhusiano baina ya Marekani na Muungano wa Usovieti ulikiwa wa wasi wasi.

Barua yake ilichapishwa katika Pravda, na baadaye Andropov alimjibu. Smith pia alialikwa kutembela Muungano wa Usovieti na kwenda.

Ziara yake ilifuatiwa na taarifa nyingi za vyombo vya habari , ambavyo vilimnukuu Smith akisema kuwa alikuta Warusi wako tu kama sisi.

Katika mwaka 1983, aliitembelea Japan, akiwa kama balozi mdogo zaidi wa Marekani. Alifariki akiwa na umri wa miaka 13 pekee, katika ajali ya ndege.
 
Back
Top