Advertise here

Hela kutoka kwenye neno Heller

Kasomi

JT Founder
Fedha iliyotumika Tanganyika (Germany East Africa) wakati wa utawala wa Mjerumani. Neno hela linalotumika sasa katika Kiswahili limetokana na Heller (Maana yake katika Kijerumani ni sarafu ya thamani ndogo). Pia ilikuwepo 1 Heller na 5 Heller.
FLkZS_6XMAIpc74.jpeg
 
Back
Top