Kasomi
JT Founder
Gharama za kusajili
Gharama za kusajili alama za bishara au huduma BRELA (Gharama hizi ni pamoja na gharama za BRELA)
1- Gharama kuu ni Shs. 150,000/=
2- Gharama za kurudia baada ya masahihisho ni Shs. 50,000/=
Masharti ya usajili
1- Mteja anawajibika kisheria na alama za biashara au huduma
2- Mteja antakiwa kutoa taarifa zote pamoja na alama za biashara au huduma ndani ya siku 5
Zikipita siku tano, gharama ya Shs. 50,000/= itahusika
Gharama za kusajili alama za bishara au huduma BRELA (Gharama hizi ni pamoja na gharama za BRELA)
1- Gharama kuu ni Shs. 150,000/=
2- Gharama za kurudia baada ya masahihisho ni Shs. 50,000/=
Masharti ya usajili
1- Mteja anawajibika kisheria na alama za biashara au huduma
2- Mteja antakiwa kutoa taarifa zote pamoja na alama za biashara au huduma ndani ya siku 5
Zikipita siku tano, gharama ya Shs. 50,000/= itahusika