Kongamano la Semina ya sensa kwa vijana wa vyuo mkoani Mbeya linafanyika mkoani katika Ukumbi wa Chuo kikuu Cha TEKU kongamano Hilo limehudhuriwa na vijana wa CCM Vyuo vya Mbeya
Baadhi ya Vyuo vilivyo huzuria katika kongamano Hilo Ni;
CBE, TEKU, MUST, CUCoMU (zamani SAUT), MZUMBE, TPSC, MCHAS, TIA, CDTI, na vingine.
====
Matukio zaidi (UPDATES)
Burudani inaendelea ukumbini wakati wakisubiri Semina kuanza.
Pia wageni mbalimbali wakiwasili.
Baadhi ya Vyuo vilivyo huzuria katika kongamano Hilo Ni;
CBE, TEKU, MUST, CUCoMU (zamani SAUT), MZUMBE, TPSC, MCHAS, TIA, CDTI, na vingine.
====
Matukio zaidi (UPDATES)
Burudani inaendelea ukumbini wakati wakisubiri Semina kuanza.
Pia wageni mbalimbali wakiwasili.