Advertise here

Joel Nanauka ateuliwa kuwa Waziri wa Vijana Tanzania

Kasomi

JT Founder
1763385222052.jpg


Joel Nanauka Waziri wa Vijana Tanzania🇹🇿

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Joel Nanauka kuwa Waziri wa Vijana na hatokuwa na Naibu Waziri kwa sasa kwakuwa Wizara ipo chini ya Ofisi ya Rais na watakuwepo wa kumsaidia.
 
Back
Top