Advertise here

tanzania

  1. Kasomi

    Ratiba ya Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026 kwa saa za Tanzania (EAT)

    Ratiba ya Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026 kwa saa za Tanzania (EAT) 🏆 Nusu Fainali ya Kwanza 🇫🇷 Ufaransa 🆚 🇪🇸 Uhispania 📅 Jumanne, 14 Julai 2026 🕙 Saa 10:00 usiku 🏆 Nusu Fainali ya Pili 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England 🆚 🇦🇷 Argentina 📅 Jumatano, 15 Julai 2026 🕙 Saa 10:00 usiku Washindi wa mechi hizi...
  2. Kasomi

    Top 100 most visited websites in Tanzania 2026

    The top 100 most visited websites in Tanzania by Ahrefs organic search traffic estimates. Updated monthly. Top Websites in Tanzania Rank Website Category Search traffic Search traffic 1 youtube.com Entertainment 2.2M -36.9K 2 ↑1 necta.go.tz Jobs & Education 2M +144K 3 ↓1...
  3. F

    Gal sport promo code Tanzania Zambia and Uganda : use 1995 get 100% bonus

    Gal sport GSB Promo Code : 1995 bunus 100% Gal Sport Betting (GSB) has established itself as a premier destination for sports enthusiasts across East and Central Africa. Whether you are in the bustling streets of Dar es Salaam, the vibrant heart of Kampala, or the growing urban centers of...
  4. Kasomi

    Mauzo ya Tanzania kwenda nchi jirani 2024/25

    Mauzo ya Tanzania kwenda nchi jirani 2024/25: 1. Kenya - Trilioni 1.11 2. DRC - Bilioni 795.23 3. Uganda - Bilioni 688.78 4. Rwanda - Bilioni 567.12 5. Zambia - Bilioni 560.20 6. Burundi - Bilioni 279.78 7. Malawi - Bilioni 231.67 8. Msumbiji - Bilioni 81.78
  5. Kasomi

    Orodha ya mikoa ya Tanzania na ukubwa wake

    Orodha ya mikoa ya Tanzania na ukubwa wake Nafasi ya Mkoa, Jina la Mkoa na Kilomita za mraba Tabora76,151 Morogoro70,624 Lindi66,699 Ruvuma66,399 Singida49,340 Katavi45,843 Kigoma45,066 Manyara44,522 Dodoma41,311 Arusha37,576 Mbeya35,954 Iringa35,503 Pwani32,547 Songwe27.656 Tanga26,667...
  6. Kasomi

    Mikoa 10 Mikubwa Tanzania kwa Ukubwa wa Eneo

    Mikoa Mikubwa kwa Eneo: 1️⃣ Tabora – 76,151 km² 2️⃣ Morogoro – 70,624 km² 3️⃣ Lindi – 66,699 km² 4️⃣ Ruvuma – 66,399 km² 5️⃣ Singida49,340 km² Mikoa ya Kati kwa Ukubwa: 6️⃣ Katavi45,843 km² 7️⃣ Kigoma45,066 km² 8️⃣ Manyara44,522 km² 9️⃣ Dodoma41,311 km² 🔟 Arusha37,576 km²
  7. Kasomi

    Mabadiliko ya thamani ya shilling ya Tanzania kulinganisha na Dolla ya Marekani Toka Mwaka 1966 Hadi 2026

    Mabadiliko ya thamani ya shilling ya Tanzania kulinganisha na Dolla ya Marekani Toka Mwaka 1966 hadi 2026 (1966-1972) 1 USD = 5 TZS, (1973-1975) 1 USD =7 TZS, 1976,,1 USD=12 TZS 1977, 1 USD =12 TZS (1978-82)-1USD-20TZS 1983- 1USD:22 TZS 1984-1 USD: 23TZS 1985- 1USD: 102 TZS 1986- 1USD: 205 TZS...
  8. Kasomi

    Je, Unafahamu Kuwa Tanzania Tuliwahi Kutumia Noti Za Shilingi 100 Za Aina 10 Tofauti

    ULIWAHI KULIJUA HILI? Tanzania Tuliwahi Kutumia Noti Za Shilingi 100 Za Aina 10 Tofauti Kutoka Mwaka 1966 Mpaka Kufikia Mwaka 1994 Ambapo Noti Ya Shilingi 100 Ilibadilishwa Na Kuwa Sarafu!!
  9. Kasomi

    Dreamliner Kuirudisha Taifa Stars Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Ndege maalum (Boeing 787-8 Dreamliner) kwenda nchini Morocco kuwafuata wachezaji na kuwarudisha nchini Tanzania. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa...
  10. Kasomi

    Mikoa inayo ongoza kwa Nyumba zisizo Bora Tanzania

    Mikoa inayo ongoza kwa Nyumba zisizo Bora Tanzania 1- Lindi 2- Tabora 3- Mtwara 4- Ruvuma 5- Rukwa Mikoa inayo ongoza kuwa na nyumba za tope ni; 1- Singida 2- Dodoma 3. Manyara 4. Sinyanga 5. Simiyu
  11. Kasomi

    Washirika Wakubwa wa Kibiashara wa Tanzania 2024/25

    Washirika Wakubwa wa Kibiashara wa Tanzania 2024/25: 1. China 2. India 3. Afrika Kusini 4. Umoja wa Falme za Kiarabu 5. Kenya 6. Japan 7. Marekani 8. Ubelgiji 9. Uswisi 10. Uganda
  12. Kasomi

    Mikoa 10 Tajiri Tanzania Bara kwa kuangalia pato ghafi la mikoa hadi 2024

    Mikoa 10 Tajiri Tanzania Bara kwa kuangalia pato ghafi la mikoa hadi 2024: 1. Dar es Salaam - Trilioni 34.8 2. Mwanza -Trilioni 14.6 3. Mbeya - Trilioni 11.6 4. Morogoro -Trilioni 9.8 5. Arusha - Trilioni 9.7 6. Tanga - Trilioni 9.5 7. Geita - Trilioni 9.3 8. Kilimanjaro - Trilioni 9.3 9...
  13. Kasomi

    Tanzania Nchi ya 5 kwa idadi ya Watu wengi Afrika

    Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watu barani Afrika. Kwa mujibu wa makadirio ya sensa na takwimu za Umoja wa Mataifa (UN World Population Prospects, 2025), Tanzania inashika nafasi ya 5 kwa idadi ya watu Afrika. Nchi 10 zenye watu wengi zaidi Afrika (takribani 2025): Tanzania...
  14. F

    Jinsi ya Kujisajili LeonBet Tanzania: Mwongozo Kamili na Promo Code: A7771

    LeonBet ni jukwaa maarufu la kubashiri michezo na mchezo wa kasino mtandaoni ambalo linatoa huduma kwa watumiaji wengi duniani, ikiwa ni pamoja na Tanzania. Ikiwa unafikiria kujisajili, kutumia promo code wakati wa usajili kunaweza kuongeza uzoefu wako wa awali kwa bonasi na ofa maalum. Hapa...
  15. Kasomi

    Jina Tanzania Katika Lugha Mbalimbali Duniani

    Tanzania imeendelea kutambulika kimataifa kama moja ya mataifa muhimu barani Afrika, na tafsiri ya jina lake hutofautiana kulingana na lugha na maeneo mbalimbali duniani. Utafiti mpya unaonyesha namna mataifa tofauti yanavyolitaja jina la Tanzania kwa mitazamo ya lugha zao. 1. Tanzania...
  16. Kasomi

    Fahamu Kuhusu Majimbo Makuu Katoliki Tanzania

    FAHAMU KUHUSU MAJIMBO MAKUU KATOLIKI TANZANIA. 1. Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Jimbo Katoliki Dodoma lilipandishwa hadhi na kuwa Jimbo Kuu tarehe 6.11.2014. Jimbo Kuu Dodoma linajumuisha majimbo matatu ambayo ni; Singida, Kondoa na Dodoma lenyewe. Askofu Mkuu ni Askofu Beatus Kinyaiya wa Dodoma...
  17. Kasomi

    Yafahamu Majimbo ya Kanisa Katoliki Tanzania

    YAFAHAMU MAJIMBO YA KANISA KATOLIKI TANZANIA 1. Jimbo Kuu Katoliki Arusha 2. Jimbo Kuu Katoliki Dar er Salaam 3. Jimbo Kuu Katoliki Dodoma 4. Jimbo Kuu Katoliki Mbeya 5. Jimbo Kuu Katoliki Tabora 6. Jimbo Kuu Katoliki Mwanza 7. Jimbo Kuu Katoliki Songea 8. Jimbo Katoliki Bukoba 9. Jimbo...
  18. Kasomi

    The 4R (Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild) of President Samia in Tanzania

    The 4R (Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild) of H.E President Samia are impressive pillars for multiparty democracy as well as for the economic prosperity. However, they need to be comprehensively understood and acted upon to bear fruitful results. In line with Islamic Finance...
  19. Kasomi

    Nchi 10 Zenye Uwekezaji Mkubwa Tanzania (TZS)

    Nchi 10 Zenye Uwekezaji Mkubwa Tanzania (TZS) 1. Uingereza - Trilioni 12.47 2. Norway - Trilioni 4.30 3. Mauritius - Trilioni 3.94 4. Uholanzi- Trilioni 3.77 5. Nigeria - Trilioni 2.46 6. Barbados - Trilioni 2.26 7. Afrika Kusini - Trilioni 2.22 8. China - Trilioni 1.86 9. Kenya - Trilioni 1.39...
  20. Kasomi

    Joel Nanauka ateuliwa kuwa Waziri wa Vijana Tanzania

    Joel Nanauka Waziri wa Vijana Tanzania🇹🇿 Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Joel Nanauka kuwa Waziri wa Vijana na hatokuwa na Naibu Waziri kwa sasa kwakuwa Wizara ipo chini ya Ofisi ya Rais na watakuwepo wa kumsaidia.
Back
Top