Kasomi
JT Founder
WEKA WINDOW 11 MPYA KWENYE PC AMBAYO NOT SUPPORTED !!!
Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote ?
Najua ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi sana kutokana na Pc tunazozimiliki ni za kizamani so mambo mengi yapo UN supported.
Ivyo uwapa wakati mgumu watu kuwa nayo kutokana na kuwa hawajakizi mahitaji !! Kama unahitaji kuwa nayo basi fanya hivi
• Kwanza Fanya bootable ya Window kwenye flash yako.
•tumia program kama Rufus , power iso au command prompt Ukimaliza Sasa kufanya bootable.
• Zima au restart PC yako kama kwa ajili ya kupiga window
• Sasa bonyeza f12 , f9 ,Esc kuchagua boot options inategemea na aina gani ya Kompyuta / laptop
• baada ya hapo chagua flash yako yenye window kisha itawaka utaona lugha , time pamoja na keyboard uchague
• Sasa wewe bonyeza shift + f10 utaletewa cmd kisha andika regedit alafu piga Enter
Kisha fanya hivi ingia kwenye ya
HKEY_LOCAL_MACHINE >> SYSTEM alafu >> Setup kisha right click kwenye Setup folder chagua New kisha key option.
Andika keylab kisha press Enter unaweza kuandika " BypassTMPcheck" kisha enter
Right click Sasa kwenye Labconfig (folder) key kisha chagua New alafu chagua DWORD(32- bit) value option
Andika iyo DWORD ni BypassSecureBootCheck kisha Enter Sasa malizia kwa ku double click kwenye iyo iyo BypassSecureBootCheck alafu badili value kutoka 0 kuwa 1 kisha bonyeza Ok button
Kisha utatoka kwenye regedit na kurudi mwanzoni kabisa kwenye kupiga window bonyeza Next kisha install Now utaweza kupiga window 11 kwenye kompyuta yako
Natumai utaweza kuiweka window 11 Sasa kwenye PC yako ambayo not support
pia unaweza pitia makala hizi
jamiitalk.com
jamiitalk.com
Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote ?
Najua ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi sana kutokana na Pc tunazozimiliki ni za kizamani so mambo mengi yapo UN supported.
Ivyo uwapa wakati mgumu watu kuwa nayo kutokana na kuwa hawajakizi mahitaji !! Kama unahitaji kuwa nayo basi fanya hivi
• Kwanza Fanya bootable ya Window kwenye flash yako.
•tumia program kama Rufus , power iso au command prompt Ukimaliza Sasa kufanya bootable.
• Zima au restart PC yako kama kwa ajili ya kupiga window
• Sasa bonyeza f12 , f9 ,Esc kuchagua boot options inategemea na aina gani ya Kompyuta / laptop
• baada ya hapo chagua flash yako yenye window kisha itawaka utaona lugha , time pamoja na keyboard uchague
• Sasa wewe bonyeza shift + f10 utaletewa cmd kisha andika regedit alafu piga Enter
Kisha fanya hivi ingia kwenye ya
HKEY_LOCAL_MACHINE >> SYSTEM alafu >> Setup kisha right click kwenye Setup folder chagua New kisha key option.
Andika keylab kisha press Enter unaweza kuandika " BypassTMPcheck" kisha enter
Right click Sasa kwenye Labconfig (folder) key kisha chagua New alafu chagua DWORD(32- bit) value option
Andika iyo DWORD ni BypassSecureBootCheck kisha Enter Sasa malizia kwa ku double click kwenye iyo iyo BypassSecureBootCheck alafu badili value kutoka 0 kuwa 1 kisha bonyeza Ok button
Kisha utatoka kwenye regedit na kurudi mwanzoni kabisa kwenye kupiga window bonyeza Next kisha install Now utaweza kupiga window 11 kwenye kompyuta yako
Natumai utaweza kuiweka window 11 Sasa kwenye PC yako ambayo not support
pia unaweza pitia makala hizi
How to Install Windows 11 on Unsupported PCs (New Easiest Method 2026)
Unlock the Full Potential of Windows 11 with Our Exclusive Playlist! Discover diverse methods to install Windows 11 on both unsupported hardware and supported PCs. Dive into expert tips on optimizing Windows 11 performance for older computers, along with a trove of tricks to enhance your...
New Methods to Install Windows 11 on Unsupported PC on 2026 Using Rufus
Microsoft’s Windows 11 announcement caused plenty of confusion and criticism due to its strict hardware requirements. Windows 11 officially requires 8th-gen or newer Intel processors, 4GB of RAM, 64GB of storage device, TPM 2.0 UEFI and Secure Boot feature enabled. While TPM 2.0 is not a major...