Advertise here

Weka Windows 11 mpya kwenye PC ambayo Not Supported

Kasomi

JT Founder
WEKA WINDOW 11 MPYA KWENYE PC AMBAYO NOT SUPPORTED !!!

Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote ?

Najua ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi sana kutokana na Pc tunazozimiliki ni za kizamani so mambo mengi yapo UN supported.

Ivyo uwapa wakati mgumu watu kuwa nayo kutokana na kuwa hawajakizi mahitaji !! Kama unahitaji kuwa nayo basi fanya hivi

• Kwanza Fanya bootable ya Window kwenye flash yako.
•tumia program kama Rufus , power iso au command prompt Ukimaliza Sasa kufanya bootable.
• Zima au restart PC yako kama kwa ajili ya kupiga window
• Sasa bonyeza f12 , f9 ,Esc kuchagua boot options inategemea na aina gani ya Kompyuta / laptop
• baada ya hapo chagua flash yako yenye window kisha itawaka utaona lugha , time pamoja na keyboard uchague
• Sasa wewe bonyeza shift + f10 utaletewa cmd kisha andika regedit alafu piga Enter

Kisha fanya hivi ingia kwenye ya
HKEY_LOCAL_MACHINE >> SYSTEM alafu >> Setup kisha right click kwenye Setup folder chagua New kisha key option.

Andika keylab kisha press Enter unaweza kuandika " BypassTMPcheck" kisha enter

Right click Sasa kwenye Labconfig (folder) key kisha chagua New alafu chagua DWORD(32- bit) value option

Andika iyo DWORD ni BypassSecureBootCheck kisha Enter Sasa malizia kwa ku double click kwenye iyo iyo BypassSecureBootCheck alafu badili value kutoka 0 kuwa 1 kisha bonyeza Ok button

Kisha utatoka kwenye regedit na kurudi mwanzoni kabisa kwenye kupiga window bonyeza Next kisha install Now utaweza kupiga window 11 kwenye kompyuta yako

Natumai utaweza kuiweka window 11 Sasa kwenye PC yako ambayo not support

pia unaweza pitia makala hizi
 

Similar threads

Back
Top