ELIMU JUU YA KOSA LA UBAKAJI
Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Jinai Tanzania r. E 2002. Kifungu cha 130 (2); kinaeleza kuwa,
"Mtu mwanamume atafanya uhalifu wa ubakaji kama ataingiliana kingono na msichana au mwanamke katika mazingira yafuatayo;
(a) Kama sio mke wake, au kama ni mkewe na...
Manusura wa ajali ya ndege waliokula maiti za wenzao ili waishi
Timu ya raga ya shule ya Old Christians Club kutoka Montevideo, Uruguay ilikodi ndege ya Jeshi la anga la Uruguay kusafiri Oktoba 13, 1972 hadi Santiago, Chile.
Wakisafiri kwenda kucheza mechi dhidi ya Old Boys katika jiji hilo...
Kutoka ardhi ya jua kali la Sikonge mkoani Tabora, alikozaliwa kama mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wanne, ndipo simulizi ya Gasper Joseph Kagandwa maarufu kama Gasper Comic ilipoanza kuandikwa kwa wino wa uvumilivu na ndoto. Alikulia katika mazingira ya hali duni kimaisha, katika...
Kama itatokea siku tukakutana na viumbe wa angani (aliens), huenda tusiweze kuongea nao kwa sauti au maneno kama tunavyofanya binadamu, lakini hisabati na fizikia zitakuwa ndiyo lugha yetu ya kwanza.
Hizi ndizo sababu kwanini mawasiliano yatawezekana:
Sheria za Ulimwengu ni Moja.
Hata kama...
Cool James au James Dandu alizaliwa tarehe 5 Julai 1970 Mkoa Mwanza na alifariki 27 Agosti 2002 Jijini Dar es Salaam, anajulikana kwa jina lake la kisanii Cool James, alikuwa Mtanzania wa Kiswideshi rapa na mtayarishaji wa rekodi (record producer)
Pia anajulikana kama Mtoto wa Dandu, CJ Massive...
Mdau kutoka Mtandaoni aitwae Shanel Frank ni miongoni mwa Mashuhuda wa ajali ya Mtoto wa Dandu mwaka 2002
Alieleza katika ukurasa wa facebook kuwa
"Mwamba alikata upepo kwenye ajali mbaya iliyomtokea katika eneo la Millenium Tower kwenye mwaka 2002 hv.
Nakumbuka siku hiyo nilichelewa kurudi...
MAKINIKIA: HEKAYA FUPI YA MWANAMUZIKI COOL JAMES AKA MTOTO WA DANDU, MWASISI WA TANZANIA MUSIC AWARDS
Pichani ni wadau wakubwa wa muziki nchini, toka kushoto Mtoto wa Dandu, Joseph Kusaga na Kinjeketile Kingunge Ngombale Mwiru miaka ya 2000.
Jina lake halisi lilikuwa James Dandu Maligisa...
cool james
james dandu
joseph kusaga
kingunge
kinjeketile
kinjeketile kingunge ngombale mwiru
maligisa
miaka
mtoto
mtoto wa dandu
mwanamuziki
mwiru
ngombale
shanel frank
wadau
Shirika la usafiri wa umma mjini Wiesbaden, magharibi mwa Ujerumani, limeitaka polisi kumshtaki kijana wa miaka 15 aliyedaiwa kuiba basi na kumpeleka mpenzi wake umbali wa kilomita 130 hadi shuleni mjini Karlsruhe.
Mkuu wa kampuni ya mabasi ya NVG, Jörg Martini, aliliambia shirika la habari la...
Kumbukizi ya Miaka 5 ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli (1959 - 2021)
Miaka mitano imepita tangu ulipotutoka, lakini alama ulizoacha bado zinang'ara. Uongozi wako wa uadilifu, uzalendo, na bidii vitadumu mioyoni mwetu. Ulisimama imara kwa maendeleo ya taifa, ukahamasisha uchapakazi kwa kauli...
Saikolojia: Ukimpenda mtu ni ngumu kuacha kumpenda.
Mapenzi huchochea sehemu ya ubongo inayohusika na uraibu.
Homoni za Dopamine na Oxytocin hutengeneza "tuzo" ya kihisia, hivyo unapojaribu kuacha, ubongo unapata hali ya "withdrawal" (shauku kali ya kuzidi kumtaka huyo mtu) sawa na mtu...
Fatma Karume kutoka Familia ya Viongozi hadi kuwa Mwanaharakati
Huyu ni mwanaharakati kutoka katika familia ya viongozi; babu yake Shekhe Abeid Karume alikuwa muasisi na Rais wa kwanza wa Zanzibar, baba yake Aman Abeid Karume alikuwa rais wa awamu ya saba wa visiwa hivyo huku baba yake mdogo...
Fatma Karume ni mtoto wa raisi mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume na mjukuu wa raisi wa kwanza wa Zanzibar Abeid Amani Karume. Amezaliwa 15 Juni 1969 ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea wa Tanzania, mwanaharakati ambaye aliwahi kuwa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) katika...
JIMBO LA KISHAPU
Leo tuangalie historia ya jimbo la Kishapu upande wa Wabunge, Bunge la kwanza la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 1965 mkoa wa Shinyanga uliwakilishwa na Majimbo matatu (3) amabayo ni Shinyanga Mashariki, (kwa sasa ndiyo kishapu) Shinyanga Kati na Shinyanga Magharibi.
BUNGE LA...
Wimbo huu wengi wamekuwa wakihusisha kuwa ulikuwa unaielezea Clods Media, wengine Wakisema Luge Mutahaba na wengine wakisema ni JPM (John Pombe Magufuli) kwamba hapo wimbo ulitoka kabla ya Magufuli kufariki ila ni kama alitabiri yatakayo tokea kwa sababu alieleza sifa zake zote.
Lakini kwa...
The always up-to-date list of all countries of the world in alphabetical order
A
Afghanistan
Albania
Algeria
Andorra
Angola
Antigua and Barbuda
Argentina
Armenia
Australia
Austria
Azerbaijan
B
Bahamas
Bahrain
Bangladesh
Barbados
Belarus
Belgium
Belize
Benin
Bhutan
Bolivia
Bosnia and...
Mfanyabiashara Mtanzania, Rostam Azizi rasmi sasa anakuwa mbia mkuu wa kampuni ya habari ya Nation Media Group (NMG) baada ya kampuni ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kutangaza kuuza hisa zake zote zilizokuwa zikimilikiwa katika kampuni hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo...
Jarida la Forbes la Marekani toleo jipya la 2026 limetaja Mohammed Dewji, Mfanyabiashara mashuhuri nchini Tanzania kama tajiri nambari moja kwa nchi za Afrika Mashariki akiwa na utajiri wa Dola za Kimarekani Bilioni 2.1.
Kwa upande wa bara la Afrika, Dewji mwenye miaka 50 anashikilia nafasi ya...