Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, leo August 27, 2025.
Itakumbukwa jana Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kiliomba kukutana na Rais wa...