JPM: Kutoka maumivu, uhai, hadi uchumi Tanzania
Aliposimama katika mwalo wa Kigongo akiwa Mkemia katika Chama cha Ushirika cha Nyanza, John Pombe Magufuli alikumbwa na hofu isiyosahaulika. "Nikasogea pale kwenye mwalo, waliniambia ingia na pikipiki yako ingiza... moyo ukakataa," alisema akitoka...