Advertise here

MIAKA 100 YA JULIUS KAMBARAGE NYERERE: HISTORIA YA ALI MSHAM NA MWALIMU NYERERE


1649824800101.png

Nyumba ya Mwalimu Nyerere Maduka Sita Magomeni huyo anaeingia ndani ni Mwalimu Nyerere
 
1649824358855.png
na a
Kulia Ali Msham na aliyekaa kwenye meza ni Julius Nyerere siku alipomkabidhi samani kwa ajili ya oifisi ya Rais wa TANU New Street kwenye tawi la TANU alilofungua nyumbani kwake Mtaa wa Jaribu
 

Similar threads

Back
Top