Kasomi
JT Founder
Kumbukizi ya Miaka 5 ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli (1959 - 2021)
Miaka mitano imepita tangu ulipotutoka, lakini alama ulizoacha bado zinang'ara. Uongozi wako wa uadilifu, uzalendo, na bidii vitadumu mioyoni mwetu. Ulisimama imara kwa maendeleo ya taifa, ukahamasisha uchapakazi kwa kauli yako maarufu ‘Hapa Kazi Tu!’
Leo tunakuenzi kwa upendo na heshima, tukikumbuka maono yako kwa Tanzania yenye uchumi imara na maendeleo kwa wote. Daima tutakuenzi na kuendelea kuthamini mchango wako.
Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la Geita vijijini.
Alifariki March 17,2021 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es salaam
Na alizikwa tarehe 26 Machi 2021 nyumbani kwao Chato mkoani Geita.
Pumzika kwa amani, Kiongozi wa Wanyonge.
Soma historia ya Magufuli hapa
jamiitalk.com
Tazama video ya historia yake hapa
Miaka mitano imepita tangu ulipotutoka, lakini alama ulizoacha bado zinang'ara. Uongozi wako wa uadilifu, uzalendo, na bidii vitadumu mioyoni mwetu. Ulisimama imara kwa maendeleo ya taifa, ukahamasisha uchapakazi kwa kauli yako maarufu ‘Hapa Kazi Tu!’
Leo tunakuenzi kwa upendo na heshima, tukikumbuka maono yako kwa Tanzania yenye uchumi imara na maendeleo kwa wote. Daima tutakuenzi na kuendelea kuthamini mchango wako.
Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la Geita vijijini.
Alifariki March 17,2021 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es salaam
Na alizikwa tarehe 26 Machi 2021 nyumbani kwao Chato mkoani Geita.
Pumzika kwa amani, Kiongozi wa Wanyonge.
Soma historia ya Magufuli hapa
Historia ya Dkt John Pombe Magufuli
WASIFU WA JOHN POMBE MAGUFULI Taaluma yake; Dkt, John Joseph Pombe Magufuli ni mwalimu na mtalaamu wa kemia akiwa na Shahada ya Uzamivu (PhD). Kuzaliwa Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la Geita vijijini. Kipindi hicho Geita ikiwa ni moja ya...
jamiitalk.com
Tazama video ya historia yake hapa