Advertise here

Wakati wanajeshi wanalinda mipaka yetu,wanasiasa walipaswa walinde rasilimali zetu!je ndivyo ilivyo!?

Tuhuma za wizi na ubadhirifu nchini zinaendelea kusikika Kila siku,je ni kusema vijana wetu jwtz wanalinda mipaka Ili wezi wasibugudhiwe!!?wao wanapolinda mipaka Kwa jashonna damu wanaridhishwa na usimamizi was rasilimali zetu nchini!!?

Wanasiasa wanatimiza wajibu wao wa kulinda rasilimali zetu!!?

Nini kifanyike!?vijana wetu waendelee kulinda mipaka huku wezi wakifurahia uhuru was kuiba bila bughudha!!?

KAZI na utu ,tunasonga mbele! Ni kweli utu unatumika kulinda rasilimali zetu!!?
 
Ni kosa kubwa kuwaachia wanasiasa kulinda hizo mali, wanasiasa wanajinufaisha na matumbo yao, na kwa sababu wamelewa hawataki kuwaachia wengine ndio maana utakuwa wanawajaza watoto wao kwenye nafasi za kufanya maamuzi hata kama hao watoto hawana sifa
 
Back
Top