Kasomi
JT Founder
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) imezindua namba maalum ya ufuatiliaji wa vitambulisho vya taifa ikiwa ni sehemu ya maboresho ya utoaji wa huduma kwa wananchi.
KUFAHAMU: Kama Kitambulisho chako cha Taifa kimechapishwa.
Mwombaji anatakiwa kutuma ujumbe mfupi wa simu (sms) kama ifuatavyo
Andika namba yako ya Utambulisho wa Taifa (NIN) kwa usahihi, kisha tuma kwenda namba 15274
Huduma hii NI BUREE!