Simulizi
Member
UNBROKEN BOND
Epsde..1
Whtsapp 0786193547
Mwandishi namtunzi
Happy charles












UTANGULIZI
Urafiki wajinsia mbili tofauti yani wakike nawakiume uwa unaleta maswali mengi sana kwenye jamii Yetu nataswira zaajabu tu Kila mtu akisema lake niwapenzi wingine uwona nimarafiki tu
Ichi ndio kilichoendelea katika hii simulizi yetu ungana nami utaenjoy nakuburudika makasiriko pia kawaida ndio maisha yetu.
Ungana nami katika simulizi hii naimani utachukua kitu.
Raina nimschana mwenye miaka 23 aliishi nadada yake Naira Mwenye miaka 28 waliishi wao baada yawazazi wake kufariki wote wawili katika ajari Yagari.. Waliachiwa mali nyingi na Naira alikua mkubwa kwa ndugu yake so ndio alibaki najukumu lakumlea mdogo wake Raina.
Wazazi wao walivo fariki.. Waliacha familia moja ambayo ilikua naukaribu nawao basi katika familia izi mbili walizidisha ukaribu baada ya Raina bint mrembo sana kua naurafiki na Rajab
Anza nayo rasmi sasa..













Asubuh namapema jumba flan lakitafahari kweli alionekana Raina akiamshwa nadada yake Naira.
Raina raina!!!
Nisauti ilio kua ikimuasha
"Aah da Naira bhana bado mapema niache nilale mimi."
"Amka uko chauvivu ujui leo anakuja Raj kutoka wingereza uko masomoni kwake??
"Ooooh my good anakuja raj kweli dada yupo wapi jaman!!"
"Yupo uwanja wandege nasasa kasema atafika apa bila wewe kwenda kumpokea yani ata enda kwao anakutaka wewe."
Raina alikurupuka kwenye shuka akalirusha uko nakukimbilia bafuni
Dada yake naira alicheka tu kidogo
"Yani awa naukubwa wote u awajakua yani kama watoto yani.. Alizidi kucheka nakuangalia cmu yamdogo wake Kwenye screen aliweka picha ya rajab
Tunaacha kwao na Raina ..
Katika jumba moja tena nalo nizuri tu nayo ilikua familia nyingine ya rajabu Rafiki wa Raina.
"Ivi uyu mtoto kwaio awezi kuja bila kumuona raina ?? seriously ata wewe dada yake shamila kasema akutaki amfate zaidi yakumtaka raina.. Alafu ukiwauliza wanakata sio wapenzi kweli..??
Nisauti ya mwanamke mmoja wamakamo tu alitwa Swaumu napia aliku nawatoto wawili shamali na rajab
"Jamani jamani Mom Punguza presha umewasahau awa urafiki wao toka wadogo.. Rajab ataki kupokelewa namtu mwingine zaidi yauyo keki wake raina awo
Upendo wao nitoka wadogo mimi ata ainishtui nawala sitaki mniambie et nikampokee uyo mtoto wako kipenzi rajab akhu siendi..
Alijibu shamila yeye alijifupisha akijiita shamii alikua dada yake na rajab alimjibu mama yake be swaumu uku akiwa kakunja zake nne kwenye kochi anasafisha kucha
zake taratibu tu nakuzipuliza.
"Shamii hii italeta shida urafiki gani hu ambao auna mwisho toka wadogo adi sasa wakubwa alafu raina na rajab nilika lakuoa nakuoela sasa sio wapenzi mmoja wapo akioa je!
" Bwana mimi nimechoka naaya mambo yao watajua wao kama wanapendana au lah lakini wale nimarafiki embu acha eka eka jamani kama mtu akimpata wakumpenda wataoa nakuolewa pia
Apa napanga nyimbo yakuimba leo studio usione nimekaa apa natunga nyimbo zangu badae naenda zangu studio
"Kazi kuwaza miziki tu ujue wewe sasa unamiaka 30 adi leo unamchumba wala mpenzi yani wewe ndio uweleweki kabisa.."
"Muda ukifika nitaolewa nanikimpata uyo wakunioa unadhani kuoa kuolewa rahisi icho kipaji pia, naona kama unanitoa kwenye mood zangu nipo navibe zangu zamisuc leo .. Shamii alinyakuka akaelekea zake chumbani.













Raina alivaa haraka haraka nakujipodoa.
"Raina kama sio muislm wewe vinguo vifupi vifupi kilamara kwanini upendi kuvaa kujistri wewe??"
"Bwana da naira umeanza ndio anapenda rafiki yangu alafu ndio nilivo toka mdogo ata ukisema sasa itasadia nini!! niache bhan Ndio napenda kujiachia Joto ili nijitie minguo gubi gubi nani nataka kukosa pumzi aah! sina ulokore uwo mimi" .
Raina alivalia kisket kifup aswa tena kilichokomea mapajani alichomokea nashart lake alilo ona limemkaa vyema alizoe kuachia nywele zake akua mtu wakusuka suka sana nywele zake japo alijaliwa nywele nyingi tu.
Alienda sehemu ya packing yamagari alitoa gari lake lock akapanda mlinzi wao wagetin alifungua geti Raina akatoka akielekea aiport alipo rafiki yake rajab.
Alifika aiport nakumuona rajab kasimama tu nakibeg chake alikua kaka flan rangi yake mweupe Kiasi nawala weupe wake auboi alafu mrefu kiasi.
Basi raina Alishuka haraka haraka kwenye gar nakwenda kumkumbatia Rajabu
"Waooooh alimkumbatia mzima mzima.. Uku rajab akimruhusu amkumbatie zaidi ata yeye alirudisha kumbatio pia.
"Raj!!!!!! Nimekumiss raj!!"
"Me toooo jamani
nimekumiss we mtoto"
Walikumbatiana kwamuda kiasi dhen wakaachiana..
"Ehh so umeshindwa kuja kwenu adi mimi nije nikufate serious??"
"Aah wee mimi nitoke apa bila wewe apana nilitaka kuona icho kiface chako best yangu nisingeweza mwaka nimrefu. "
Jamani wewe mkaka sijui nikiolewa itakuaje!! raina aliongea kimatani tu ila rajab kama akupenda kauri ya Raina
"Ooh nakutania my friend twende zetu ma home my dear. raina alibeba kibeg cha rajab nakumuungizia kwenye gari lake alilokuja nalo yeye.. Akamshika rajab mkono nakumuingiza kwenye gari nae akapanda wakaondoka.
"Rajab karudi naurafiki wao sasa utazidi tena utazidi sanaa nilijua akirudi utakua umepungua ila kufika tu kamtafuta Sijui rajab akija kuoa uyu Raina ndugu yangu ivi Itakuaje sasa naona urafiki wao nikama upo zaidi ya userious nitafanyeje namimi Na sitaki mdogo wangu apate shida."
Naira alikua akiwaza kweli nasasa alichukua funguo yake yagari nakutoka nje alipanda gari lake nakuondoka pale kwao.
raina alimfikisha rajab kwao nakumfungulia mlango wagari kama kawaida yake alimshika mkono uku mtumishi akibeba bag lake rajab..
"Ona sasa walivoshikana mikono yani awa watakua namwisho mbaya awa mimi ata cjui mimi.
Mama rajab aliongea baada yakuona wameshikana mikono..
"Hello mom!!!"
"Waooh mwanangu jamani umezidi kua mrefu nauwo uhandsome wako sasa... "
"Shamii nae alienda kumuwao Mdogo wake.. Nilijua utakuja apa unaongea kingereza univuruge mimi dada yako ambae nilikimbia shule."
"Hahah sio mimi mwaka tu eti nisahau kiswahili chetu uku chuo chenyewe japo niuzonguni ila wabongo kibao tu napenda lugha yangu mimi.."
"Alafu raj ujapata ata pis uko yakizungu ukavutika nae jamani nipate mie wizo mzungu.."
" Ila da shamii bhan akuna mzungu Alienivutia mimi, nataka nipate mke uku uku kwetu tz.."
"Yani wewe aya bhan"
"Sawa karibu naona sasa umekua naushamaliza masomo yako yaudaktari Naona muda wakuoa umefika kabisa.."
Swaumu ambae nimama yake aliongea tu nakumumbatia kijana wake maan alimmiss kweli .. Ila raina alishtuka ata rajab japo awakua wapenzi ila mioyo yao kama ilijuana.
"Nilijua tu mtashtuka sasa rajab lazima uoe utoke uko kifungoni mimi nitakutaftia mwanamke aliongea mwana mama yule kimoyo uku akiwa kawakazia macho.
Full buku namba 0786193547
ITAENDELEA
Epsde..1
Whtsapp 0786193547
Mwandishi namtunzi
Happy charles
UTANGULIZI
Urafiki wajinsia mbili tofauti yani wakike nawakiume uwa unaleta maswali mengi sana kwenye jamii Yetu nataswira zaajabu tu Kila mtu akisema lake niwapenzi wingine uwona nimarafiki tu
Ichi ndio kilichoendelea katika hii simulizi yetu ungana nami utaenjoy nakuburudika makasiriko pia kawaida ndio maisha yetu.
Ungana nami katika simulizi hii naimani utachukua kitu.
Raina nimschana mwenye miaka 23 aliishi nadada yake Naira Mwenye miaka 28 waliishi wao baada yawazazi wake kufariki wote wawili katika ajari Yagari.. Waliachiwa mali nyingi na Naira alikua mkubwa kwa ndugu yake so ndio alibaki najukumu lakumlea mdogo wake Raina.
Wazazi wao walivo fariki.. Waliacha familia moja ambayo ilikua naukaribu nawao basi katika familia izi mbili walizidisha ukaribu baada ya Raina bint mrembo sana kua naurafiki na Rajab
Anza nayo rasmi sasa..
Asubuh namapema jumba flan lakitafahari kweli alionekana Raina akiamshwa nadada yake Naira.
Raina raina!!!
Nisauti ilio kua ikimuasha
"Aah da Naira bhana bado mapema niache nilale mimi."
"Amka uko chauvivu ujui leo anakuja Raj kutoka wingereza uko masomoni kwake??
"Ooooh my good anakuja raj kweli dada yupo wapi jaman!!"
"Yupo uwanja wandege nasasa kasema atafika apa bila wewe kwenda kumpokea yani ata enda kwao anakutaka wewe."
Raina alikurupuka kwenye shuka akalirusha uko nakukimbilia bafuni
Dada yake naira alicheka tu kidogo
"Yani awa naukubwa wote u awajakua yani kama watoto yani.. Alizidi kucheka nakuangalia cmu yamdogo wake Kwenye screen aliweka picha ya rajab
Tunaacha kwao na Raina ..
Katika jumba moja tena nalo nizuri tu nayo ilikua familia nyingine ya rajabu Rafiki wa Raina.
"Ivi uyu mtoto kwaio awezi kuja bila kumuona raina ?? seriously ata wewe dada yake shamila kasema akutaki amfate zaidi yakumtaka raina.. Alafu ukiwauliza wanakata sio wapenzi kweli..??
Nisauti ya mwanamke mmoja wamakamo tu alitwa Swaumu napia aliku nawatoto wawili shamali na rajab
"Jamani jamani Mom Punguza presha umewasahau awa urafiki wao toka wadogo.. Rajab ataki kupokelewa namtu mwingine zaidi yauyo keki wake raina awo
Upendo wao nitoka wadogo mimi ata ainishtui nawala sitaki mniambie et nikampokee uyo mtoto wako kipenzi rajab akhu siendi..
Alijibu shamila yeye alijifupisha akijiita shamii alikua dada yake na rajab alimjibu mama yake be swaumu uku akiwa kakunja zake nne kwenye kochi anasafisha kucha
"Shamii hii italeta shida urafiki gani hu ambao auna mwisho toka wadogo adi sasa wakubwa alafu raina na rajab nilika lakuoa nakuoela sasa sio wapenzi mmoja wapo akioa je!
" Bwana mimi nimechoka naaya mambo yao watajua wao kama wanapendana au lah lakini wale nimarafiki embu acha eka eka jamani kama mtu akimpata wakumpenda wataoa nakuolewa pia
Apa napanga nyimbo yakuimba leo studio usione nimekaa apa natunga nyimbo zangu badae naenda zangu studio
"Kazi kuwaza miziki tu ujue wewe sasa unamiaka 30 adi leo unamchumba wala mpenzi yani wewe ndio uweleweki kabisa.."
"Muda ukifika nitaolewa nanikimpata uyo wakunioa unadhani kuoa kuolewa rahisi icho kipaji pia, naona kama unanitoa kwenye mood zangu nipo navibe zangu zamisuc leo .. Shamii alinyakuka akaelekea zake chumbani.
Raina alivaa haraka haraka nakujipodoa.
"Raina kama sio muislm wewe vinguo vifupi vifupi kilamara kwanini upendi kuvaa kujistri wewe??"
"Bwana da naira umeanza ndio anapenda rafiki yangu alafu ndio nilivo toka mdogo ata ukisema sasa itasadia nini!! niache bhan Ndio napenda kujiachia Joto ili nijitie minguo gubi gubi nani nataka kukosa pumzi aah! sina ulokore uwo mimi" .
Raina alivalia kisket kifup aswa tena kilichokomea mapajani alichomokea nashart lake alilo ona limemkaa vyema alizoe kuachia nywele zake akua mtu wakusuka suka sana nywele zake japo alijaliwa nywele nyingi tu.
Alienda sehemu ya packing yamagari alitoa gari lake lock akapanda mlinzi wao wagetin alifungua geti Raina akatoka akielekea aiport alipo rafiki yake rajab.
Alifika aiport nakumuona rajab kasimama tu nakibeg chake alikua kaka flan rangi yake mweupe Kiasi nawala weupe wake auboi alafu mrefu kiasi.
Basi raina Alishuka haraka haraka kwenye gar nakwenda kumkumbatia Rajabu
"Waooooh alimkumbatia mzima mzima.. Uku rajab akimruhusu amkumbatie zaidi ata yeye alirudisha kumbatio pia.
"Raj!!!!!! Nimekumiss raj!!"
"Me toooo jamani
nimekumiss we mtoto"
Walikumbatiana kwamuda kiasi dhen wakaachiana..
"Ehh so umeshindwa kuja kwenu adi mimi nije nikufate serious??"
"Aah wee mimi nitoke apa bila wewe apana nilitaka kuona icho kiface chako best yangu nisingeweza mwaka nimrefu. "
Jamani wewe mkaka sijui nikiolewa itakuaje!! raina aliongea kimatani tu ila rajab kama akupenda kauri ya Raina
"Ooh nakutania my friend twende zetu ma home my dear. raina alibeba kibeg cha rajab nakumuungizia kwenye gari lake alilokuja nalo yeye.. Akamshika rajab mkono nakumuingiza kwenye gari nae akapanda wakaondoka.
"Rajab karudi naurafiki wao sasa utazidi tena utazidi sanaa nilijua akirudi utakua umepungua ila kufika tu kamtafuta Sijui rajab akija kuoa uyu Raina ndugu yangu ivi Itakuaje sasa naona urafiki wao nikama upo zaidi ya userious nitafanyeje namimi Na sitaki mdogo wangu apate shida."
Naira alikua akiwaza kweli nasasa alichukua funguo yake yagari nakutoka nje alipanda gari lake nakuondoka pale kwao.
raina alimfikisha rajab kwao nakumfungulia mlango wagari kama kawaida yake alimshika mkono uku mtumishi akibeba bag lake rajab..
"Ona sasa walivoshikana mikono yani awa watakua namwisho mbaya awa mimi ata cjui mimi.
Mama rajab aliongea baada yakuona wameshikana mikono..
"Hello mom!!!"
"Waooh mwanangu jamani umezidi kua mrefu nauwo uhandsome wako sasa... "
"Shamii nae alienda kumuwao Mdogo wake.. Nilijua utakuja apa unaongea kingereza univuruge mimi dada yako ambae nilikimbia shule."
"Hahah sio mimi mwaka tu eti nisahau kiswahili chetu uku chuo chenyewe japo niuzonguni ila wabongo kibao tu napenda lugha yangu mimi.."
"Alafu raj ujapata ata pis uko yakizungu ukavutika nae jamani nipate mie wizo mzungu.."
" Ila da shamii bhan akuna mzungu Alienivutia mimi, nataka nipate mke uku uku kwetu tz.."
"Yani wewe aya bhan"
"Sawa karibu naona sasa umekua naushamaliza masomo yako yaudaktari Naona muda wakuoa umefika kabisa.."
Swaumu ambae nimama yake aliongea tu nakumumbatia kijana wake maan alimmiss kweli .. Ila raina alishtuka ata rajab japo awakua wapenzi ila mioyo yao kama ilijuana.
"Nilijua tu mtashtuka sasa rajab lazima uoe utoke uko kifungoni mimi nitakutaftia mwanamke aliongea mwana mama yule kimoyo uku akiwa kawakazia macho.
Full buku namba 0786193547
ITAENDELEA