Simulizi
Member
MISS PEPPY


SEHEMU YA 01~05
_________________________________
Linapokuja swala la kukimbia Mimi ni zaidi ya upepo
, No! ni zaidi ya kasi ya risasi.....najikubali sana kuliko kitu chochote wala sihitaji maoni yenu 
Jina langu naitwa Manuu watu wengi wanapenda kuniita Miss peppy
Najua unajiuliza maswali mengi kwanini wana wa ulimwengu walinipa hili jina
Jibu lake ni simple tu, nguvu niliyonayo mikononi mwangu inauwezo wa kusafarisha Mlima Kilimanjaro kutoka Africa hadi Ulaya
Nadhani sasa tumeelewana kwanini naitwa hivi, tuachane na hiki ki introduction
Juzi kati nilimwambia Mama huu mwaka ni wa kuforce lakini yeye pamoja na mifugo yake walinicheka
nilikubaliana na ule msemo usemao nabii hakubaliki kwao ingawa iliniuma sana why Mama ana mchukulia poa miss Peppy
kubwa la maadui linalo ogopeka hadi na upepo 
Nilitamani kumuambia kuhusu simu kutoka Kampuni la Coca-Cola ikinialika kushiriki shindano la kukimbia linalofanyika Kitaifa Jijini Odes, lakini moyo wangu ulisita nilizingatia ule msemo usemao "acha mafanikio yaongee yenyewe" sijui ndio hivi
I don't care kikubwa mmeelewa
Duniani hakuna siri my zangu, nikiwa busy kupanga nguo mbili tatu....washikaji zangu pamoja na jamaa zao walikuja nyumbani kwetu.
Hapa ndipo niliiona aibu ya Mama pamoja na mifugo yake
Yeye na Kuku zake walitukana mamba kabla ya kuvuka mto I feel sorry for them 
Lakini tukiachana na Mama, washikaji zangu pamoja na marafiki zao wana sifa sana kushinda lile kabila
, nilitarajia wangekuja pekee yao tu lakini walialika kila kaya hapa kijjini kwetu....dakika 20 zilikuwa nyingi uwanja wetu ulifurika watu kana kwamba tuna kikao cha dharula.
Ilinilazimu ni kae juu ya mti ili kila mtu aweze kuniona, sikutaka kuvunga sana nilimruhusu Mama na mifugo yake walie
kwa sababu hawakuamini kama naenda Jijjni Odes
Washkaji zangu waliweka kapu chini, kila mtu alianza kuweka alichonacho. Watu wa kijjji hiki wana balaa huwezi kuamini, nilipewa kuku, mitego ya panya, mahindi, cement pamoja na hirizi kubwa ya kuleta bahati
"Jiji la Odes halina tofauti na Ulaya....sina hakika kama nitapata gari la kuweka vitu hivi" Nilijikuta ni kiongea
"Hizi ni baraka kutoka kwa watu wa Kijiji hiki, naomba usikatae zawadi zao...."Mama aliniambia
Sikuona sababu ya kubishana na watu waliokula chumvi.....niliingia bafuni kuoga kisha ni kabebewa begi langu.
Mimi kama Mimi sikuruhusiwa kutembea, niliwekwa begani kwa Hawafu mwenye nguvu
Njia zima walishangilia Miss peppy
, Miss peppy
my cupcakes hakika nilijiona dhahabu kwa namna nilivyopewa heshima na watu hawa.
Gari linaloelekea Jijini Odes lilisimama, vitu vyote nilivyo zawadiwa viliwekwa
"Hakikisha unarudi na ushindi....Miss peppy
" Mshikaji wangu wa karibu kuliko wote alizungumza
"Kuwa makini Jijini Odes kuna wanaume wazuri kama dhahabu
.....lakini ni waongo wakubwa, usije kumuamini hata mmoja, Hawafu mwenye nguvu ana kusubiria pindi utakaporudi na ushindi mtafunga ndoa" Mama aliongea huku akiachia tabasamu 
Nilimchungulia Hawafu mwenye nguvu nione anasemaje, Mwanaume huyu ni kichaa aki
alinitunishia msuli kuonesha ananiweza
Niliwaaga watu wote kisha ni kamruhusu dreva aondoe gari, Oyooo Miss peppy
naenda zangu Odes..... nilijikuta ni kipiga kelele za furaha
Itaendelea
*MISS PEPPY
02*
Kitendo cha kuliona Jiji la Odes akili ziliniruka
nilisahau zawadi zote nilizopatiwa kwenye gari, haikuniuma sana coz sikuvutiwa navyo
Kizunguzungu cha ghafla kilinishika kutokana na kugeuka huku na kule....majengo yalikuwa marefu sana misili ya ngazi za kuzimu
Kila mtu aliyepita mbele yangu nilimfananisha na katuni ya Cinderella
My zangu watu wa Jijini Odes walikuwa ni wazuri kupita kiasi
"Welcome, jina langu naitwa Sasha karibu katika hotel ya little star ujipatie chakula kizuri sawa na cha Mfalme" Binti mrembo aliyevalia sare alizungumza na Mimi
Tangu ni zaliwe sikuwahi kukaribishwa kula kwenye hotel za kifahari, poor me ukarimu wa watu wa Odes ulinichanganya sana....ule msemo usemao mwenye nacho atazidi kuongezewa uliwafaa watu wa hili Jiji
Nilikaa mezani nikaletewa chakula, Manuu Mimi nilijikuta nikila kila chakula nilichokuwa naletewa.
Tumbo lina ukomo, nilinyoosha mikono juu kumaanisha nimetosheka
"Utalipia shilingi laki nne hapo mlangoni...." Kauli hii ilipasua ngoma ya sikio langu
Nilijikuta nikilia bila kukoma kwa sababu pesa yangu haikutosha kulipa gharama niliyotajiwa
"Piga simu Polisi haraka iwezekanavyo waje kumchukua huyu panya
...." Mwanaume aliyevalia suti alizungumza akionekana kukosa huruma
Nilikuwa tayari kukamatwa bila kufanya fujo yoyote but why this crazy man aniite panya.... nilijikuta ni kimpiga ngumi moja iliyopelekea apoteze fahamu
"Kamwe usije kumuita binadamu mwenye meno 32 panya....ukirudia nitakuua kisha nitakuzika kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, pengine hamjui Mimi ni nani.....naitwa Miss peppy
kubwa la maadui" Niliongea kwa mkwara
Watu wote walionekana kunywea, nilitumia udhaifu huu kuomba nifungashiwe vyakula.....kila kitu kilifanyika haraka, niliondoka kwa kukimbia sikutaka kukamatwa
Nilisimamisha tax nikaomba nipelekwe kwenye Kampuni la Coca-Cola. Cha ajabu dreva aliondoka....sikuelewa kwanini kanipuuzia pengine ni kutokana na mavazi niliyovaa
"Stupidity...." Nilijikuta ni kitukana, pengine hata nyie mnanichukulia poa lakini hiki kichwa kimesoma....nipo vizuri kwa taarifa yenu
Nilishika simu yangu nikaipigia namba iliyonipa mualiko.
Nilitoa maelekezo sehemu niliyokuwa nimesimama..... niliachia tabasamu baada ya kuelezwa gari la ofisi litakuja kunichukua
Nikiwa nimekaa hapa, niliwashuhudia wanaume wanne wakihangaika kusukuma gari lililokwama kwenye tope.
Nilitikisa kichwa changu kwa namna walivyokuwa wanahangaika
Nilihitaji kuwa sehemu ya msaada, nilisogea nikasukuma gari kwa mkono mmoja
"Naitwa Manuu a.k a Miss peppy
kubwa la maadui..." Niliwaambia baada ya kuwasaidia
"Kampuni la Nike linatafuta bodyguard kwa ajili ya kumuwekea ulinzi CEO fika haraka ofisini kwetu please usipitwe na hii bahati" Mmoja wa Wanaume hawa alizungumza akionekana kunikubali kinyama
Niliachia tabasamu baada ya kuona wamenikubali.....nilirudi kusimama nilipokuwa.
Muda ulizidi kwenda, nilirudia kupiga simu tena, bahati nzuri gari lilifika kunichukua
Ushuzi ulitaka kunipita baada ya kukutana macho kwa macho na Mwanaume niliyempiga ngumi katika hotel ya little star kwa kosa la kuniita panya
"A big looser.....rudi Kijijini kwenu nafasi hii nitampa mwingine" Mwanaume huyu aliongea kisha akaondoa gari
Manuu Mimi limenikuta
, niliwageukia wale wanaume niliowasaidia....bahati mbaya hawakuepo
Ni mwaka wa kuforce huu siwezi kurudi nyumbani kwa aibu
....nilisimamisha tax nikaomba nipelekwe kwenye Kampuni la Nike
Nikiwa nimetulia kwenye seat, nilipatiwa jarida nijisomee huku safari ikiendelea....ukurasa wa tatu ulikuwa na picha ya Kijana mzuri kupita maelekezo sikutaka kujua habari inaongelea nini nilichana huo ukurasa kisha nikautia kwenye mfuko wa suruali yangu
Mapigo ya moyo wangu yalizidi kwenda juu kila ni kifikiria muonekano wa kijana kwenye picha
"Tumefika.....sogea hapo getini Walinzi watakupa maelekezo" Dreva aliongea
Nilishuka haraka ni kihofia kudaiwa ukurasa wa gazeti niliouchana
Cha ajabu sura iliyokuwa kwenye gazeti nilikutana nayo kwenye bango kubwa lililoandikwa "just do it"
Moyo wangu ulilipuka hasa nikimtazama Mwanaume huyu aliyeshikiria kiatu mkono wake wa kulia
"Can you marry me?" Nilijikuta nikiiuliza pich
*MMISS PEPPY
03*
"Wee ng'ombe sogea hapa, kulitazama tu hilo bango pesa inasoma do hurry please usikie bill unayotakiwa kulipa" Sauti iliyojaa dharau iliniita,
Nilianza kutembea haraka tena nikiwa na uoga wa hali ya juu lakini baada ya kukumbuka nimeitwa ng'ombe nilishikwa na hasira
ni kapunguza mwendo
"Umekuwa kobe mara hii!....fanya haraka kukaribia hapa au ni kufungulie Mbwa" Mlinzi huyu alizidi kunipanda kichwani
Mara nyingi nikiwa na hasira na sina cha kufanya huwa nalia
, watu wote waliokuwa hapa walinigeukia kwa namna nilivyokuwa nalia kwa sauti
Kama nitasema nimuadhibu mtu huyu kwa kuniita ng'ombe sitaruhusiwa kuingia getini..... kwahiyo my zangu msishangae kwanini Manuu Mimi nimechagua kulia
Nikiwa katika kulia, gari kali aina ya Rolls_Royce Sweptail ilisimama getini, poleni ndugu zangu naelewa mmezoea kusikia majina kama Suzuki, Prados na mengineyo
semeni ahsante kwa kuwatajia gari jipya though it's my first time kuliona gari pia
Macho yangu yalitekwa
baada ya kumuona Mr. Handsome aliye changanya akili yangu kiasi cha kuchana ukurasa kwenye gazeti....sijui aibu ilitoka wapi nilichukua begi langu ni kajificha
.....harufu ya marashi yake yalidumu puani kwangu.
Aliacha maelezo getini kisha akaingia kwenye gari lake
Nilimsogelea Mlinzi aliyeachiwa maelekezo
"Nipo hapa kuwania nafasi ya bodyguard....nipeni fomu haraka nijaze
" Niliongea huku nikionesha haraka
Nilikula kibao cha kichwa ni wazi kabisa niliongea upuuzi
"Hii sehemu inaogopeka na kila mtu. ..umepata wapi nguvu za kuleta pua lako hapa, ondoka haraka kabla sijakasirika sahau kuhusu deni nililotaka kukutajia....kama unataka kazi lifuate hilo gari" Mlinzi huyu alizungumza huku akinipandisha kwa kunikadiria
Nilisikia uchungu mkali kupita kiasi kwa jibu nililopatiwa, poor me
nimepoteza nafasi ya kushiriki shindano la kukimbia masafa marefu sababu ya ujinga wangu, sipo tayari kuipoteza hii nafasi pia.
Sikutaka kujua habari kuhusu begi langu, nilifunga vizuri kamba za viatu vyangu.....nilivuta pumzi kidogo kisha nikatoka mbio mfano wa risasi
Nilianza kulifukuzia gari lilitoka hapa dakika 10 zilizopita ni kiamini nitapata kazi
Sura ya Mr. Handsome aliyekuwa kwenye bango ilinichanganya.....sitaki kujua kama yeye ni ghost au an Angel nachotaka Mimi ni kumuwekea Ulinzi....kadiri nilivyozidi kukimbia ndivyo nilipata nguvu ya kujiona nastahili kuwa bodyguard.....nilifanikiwa kulifikia gari
Nililitangizia kwa mbele huku mapigo ya moyo wangu yakienda juu
Kioo cha gari kilishushwa....kwa mara nyingine tena nilimuona Mr. Handsome
"Nipo na haraka ondoa hiyo takataka" Mr. Handsome aliongea, moyo wangu uliumia
being rubbish inauma aisee, why aniite takataka
Walinzi wake watatu walinisogelea, hii ndio ilikuwa nafasi pekee ya Mimi kulitangaza jina langu kama Miss peppy
Niliwasalimu
wote kwa ngumi moja moja kisha ni kamsogelea Mr. Ni Handsome
"Naomba niwe bodyguard wako....." Niliongea nikiwa nimetazama chini
, uzuri wake ulinifunga kumzoea 
*MISS PEPPY
04*
"Naomba tuzungumze siku nyingine kuhusu kazi...kuna sehemu moja muhimu sana nawahi" Mr. Handsome aliongea
Jibu lake lilinikatisha tamaa
do you know what unaweza kuwa mzuri wa sura lakini si moyo....mtu huyu anaonekana kuwa na roho mbaya, sikusita kumtupia ukurasa niliouchana kwenye gazeti
6
Huwezi kuamini mlango ulifunguliwa kisha Mr. Handsome alinipa ishara ya kuingia.
My cupcakes, sitaki kujua naenda kufa au kutupwa kusikojulikana
kitendo cha kuruhusiwa kuingia kwenye gari kilinipa nguvu sana.
Nilitegemea kuulizwa hey Mama panya kwanini ulichana huu ukurasa? But haikuwa hivyo
guess am lucky
Walinzi wake waliingia pia, safari iliendelea....kila mtu niliyemtazama alionekana kuwa bize na simu yake kuliko kawaida.
Muda wote Mr. Handsome alikuwa na kazi ya kupokea na kukata simu.
Kwa muonekano tu alikuwa amechoka sana.... kujipendekeza siyo dhambi au mnasemaje washikaji
nilinyoosha mkono wangu ni kaanza kumkanda kanda mabega wazungu tunaita massage
Mwanzo alinikatalia, nikataka kukata tamaa lakini Mlinzi wake mmoja alinipa ishara ya kuendelea
Guys! niliendelea na hili zoezi mpaka tulipofika uwanja wa ndege
Tulishuka kwenye gari kisha tukakaa kwenye6 viti vilivyokuwa hapa airport special kwa kusubiria wageni
Niliendelea kujipendekeza kwa Mr. Handsome
kwa kumfutia viatu vyake na kitambaa changu japo havikuwa vimechafuka
Ghafla tu nilimuona akiachia tabasamu
, mwanzo nilihisi anafurahia huduma yangu lakini baada ya kuchunguza niligundua hanitizami Mimi,
Kuna sauti iliniambia Manuu turn about
Niliitia hii sauti, niliacha kufuta viatu ni kageuka nyuma
My zangu
....nilikutana na Binti mrembo kuliko hata Mr. Handsome....mwendo wake wa maringo ulitosha kutengeneza upepo mwanana
Sijui Mr. Handsome alisimama saa ngapi kwenye kiti chake.... kufumba na kufumbua nilishuhudia watu wamekumbatiana
"Axel hukuwa na haja ya kuja hapa, sitaki kuamini umeharibu ratiba zako just for me" Binti mrembo kuliko wote duniani alizungumza kwa kudeka
Nilitumia nafasi hii kujipendekeza zaidi ingawa roho yangu ilikuwa inauma, nilimbebea begi lake dogo ambalo Walinzi wengine hawakuliona
sijui walifeli wapi
"Naitwa Manuu, call me Miss peppy
itapendeza zaidi ni bodyguard wa Axel" Nyie watu nilitumia nafasi hii vizuri kujiajiri bila ruhusa ya Mr. Handsome
...
*MISS PEPPY
5*
"Naitwa Babeth....nimefurahi kuona my man kaajiri bodyguard wa kike" Babeth aliongea huku akiachia tabasamu
Aki! kuna watu wazuri duniani, kama ni kiwatumia picha yake am sure mtaigeuza kuwa hirizi ya bahati
Mapigo ya moyo wangu yalisimama
baada ya kusikia Babeth yupo Jijini Odes kushiriki shindano la Marathon lililoandaliwa na Kampuni ya Coca-Cola
Nilijikuta ni kiikumbuka ile siku nimepigiwa simu kuhusu kushiriki pia..I don't know nani alinifanyia application, maybe ni washikaji wangu
niliomboleza ndani ya moyo wangu
"Kila kitu nitasitisha siku ya kesho, ni lazima nije kuku support" Axel au Mr. Handsome alimuambia sukari wa moyo wake kisha akanigeukia Mimi
"Bado sija kuapprove kuwa bodyguard wangu for the time being siyo mbaya ukiambatana na Mimi" Axel aliniambia
Nilitikisa kichwa ni kijua kabla siku tatu hazijaisha atanikubali
Axel alimpeleka Babeth katika hotel ya kifahari kwa ajili ya kupumzika....kuna namna moyo wangu ulikuwa unawaka moto mwekundu
kwa wivu
Nilitaka kumfuata lakini alinizuia, guys niliambiwa nibaki kumsaidia Babeth....in short niligeuka kuwa maid wake
Mrembo huyu hakuwa anajua chochote zaidi ya kuremba uso wake, siyo kwamba alikuwa anaigiza...na si kwamba namchongea
Just Imagine hata kufungua chupa ya maji ni mahangaiko tu....niliamua kutumia nafasi hii kujipendekeza, always Miss peppy
huwa hakosei hivyo nilinyoosha kila kitu kama rula
Hakika uchawi upo bwana, sijui ni nini kilitokea ule ukurasa niliouchana kwenye gazeti la dreva wenye sura ya Mr. Handsome
ulidondokea miguuni kwa Babeth 
Isome yote kwa kulipia Tsh 1000
WhatsApp 0742133100
SEHEMU YA 01~05
_________________________________
Linapokuja swala la kukimbia Mimi ni zaidi ya upepo
Jina langu naitwa Manuu watu wengi wanapenda kuniita Miss peppy
Najua unajiuliza maswali mengi kwanini wana wa ulimwengu walinipa hili jina
Jibu lake ni simple tu, nguvu niliyonayo mikononi mwangu inauwezo wa kusafarisha Mlima Kilimanjaro kutoka Africa hadi Ulaya
Nadhani sasa tumeelewana kwanini naitwa hivi, tuachane na hiki ki introduction
Juzi kati nilimwambia Mama huu mwaka ni wa kuforce lakini yeye pamoja na mifugo yake walinicheka
Nilitamani kumuambia kuhusu simu kutoka Kampuni la Coca-Cola ikinialika kushiriki shindano la kukimbia linalofanyika Kitaifa Jijini Odes, lakini moyo wangu ulisita nilizingatia ule msemo usemao "acha mafanikio yaongee yenyewe" sijui ndio hivi
Duniani hakuna siri my zangu, nikiwa busy kupanga nguo mbili tatu....washikaji zangu pamoja na jamaa zao walikuja nyumbani kwetu.
Hapa ndipo niliiona aibu ya Mama pamoja na mifugo yake
Lakini tukiachana na Mama, washikaji zangu pamoja na marafiki zao wana sifa sana kushinda lile kabila
Ilinilazimu ni kae juu ya mti ili kila mtu aweze kuniona, sikutaka kuvunga sana nilimruhusu Mama na mifugo yake walie
Washkaji zangu waliweka kapu chini, kila mtu alianza kuweka alichonacho. Watu wa kijjji hiki wana balaa huwezi kuamini, nilipewa kuku, mitego ya panya, mahindi, cement pamoja na hirizi kubwa ya kuleta bahati
"Jiji la Odes halina tofauti na Ulaya....sina hakika kama nitapata gari la kuweka vitu hivi" Nilijikuta ni kiongea
"Hizi ni baraka kutoka kwa watu wa Kijiji hiki, naomba usikatae zawadi zao...."Mama aliniambia
Sikuona sababu ya kubishana na watu waliokula chumvi.....niliingia bafuni kuoga kisha ni kabebewa begi langu.
Mimi kama Mimi sikuruhusiwa kutembea, niliwekwa begani kwa Hawafu mwenye nguvu
Njia zima walishangilia Miss peppy
Gari linaloelekea Jijini Odes lilisimama, vitu vyote nilivyo zawadiwa viliwekwa
"Hakikisha unarudi na ushindi....Miss peppy
"Kuwa makini Jijini Odes kuna wanaume wazuri kama dhahabu
Nilimchungulia Hawafu mwenye nguvu nione anasemaje, Mwanaume huyu ni kichaa aki
Niliwaaga watu wote kisha ni kamruhusu dreva aondoe gari, Oyooo Miss peppy
Itaendelea
*MISS PEPPY
Kitendo cha kuliona Jiji la Odes akili ziliniruka
Kizunguzungu cha ghafla kilinishika kutokana na kugeuka huku na kule....majengo yalikuwa marefu sana misili ya ngazi za kuzimu
Kila mtu aliyepita mbele yangu nilimfananisha na katuni ya Cinderella
"Welcome, jina langu naitwa Sasha karibu katika hotel ya little star ujipatie chakula kizuri sawa na cha Mfalme" Binti mrembo aliyevalia sare alizungumza na Mimi
Tangu ni zaliwe sikuwahi kukaribishwa kula kwenye hotel za kifahari, poor me ukarimu wa watu wa Odes ulinichanganya sana....ule msemo usemao mwenye nacho atazidi kuongezewa uliwafaa watu wa hili Jiji
Nilikaa mezani nikaletewa chakula, Manuu Mimi nilijikuta nikila kila chakula nilichokuwa naletewa.
Tumbo lina ukomo, nilinyoosha mikono juu kumaanisha nimetosheka
"Utalipia shilingi laki nne hapo mlangoni...." Kauli hii ilipasua ngoma ya sikio langu
Nilijikuta nikilia bila kukoma kwa sababu pesa yangu haikutosha kulipa gharama niliyotajiwa
"Piga simu Polisi haraka iwezekanavyo waje kumchukua huyu panya
Nilikuwa tayari kukamatwa bila kufanya fujo yoyote but why this crazy man aniite panya.... nilijikuta ni kimpiga ngumi moja iliyopelekea apoteze fahamu
"Kamwe usije kumuita binadamu mwenye meno 32 panya....ukirudia nitakuua kisha nitakuzika kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, pengine hamjui Mimi ni nani.....naitwa Miss peppy
Watu wote walionekana kunywea, nilitumia udhaifu huu kuomba nifungashiwe vyakula.....kila kitu kilifanyika haraka, niliondoka kwa kukimbia sikutaka kukamatwa
Nilisimamisha tax nikaomba nipelekwe kwenye Kampuni la Coca-Cola. Cha ajabu dreva aliondoka....sikuelewa kwanini kanipuuzia pengine ni kutokana na mavazi niliyovaa
"Stupidity...." Nilijikuta ni kitukana, pengine hata nyie mnanichukulia poa lakini hiki kichwa kimesoma....nipo vizuri kwa taarifa yenu
Nilishika simu yangu nikaipigia namba iliyonipa mualiko.
Nilitoa maelekezo sehemu niliyokuwa nimesimama..... niliachia tabasamu baada ya kuelezwa gari la ofisi litakuja kunichukua
Nikiwa nimekaa hapa, niliwashuhudia wanaume wanne wakihangaika kusukuma gari lililokwama kwenye tope.
Nilitikisa kichwa changu kwa namna walivyokuwa wanahangaika
Nilihitaji kuwa sehemu ya msaada, nilisogea nikasukuma gari kwa mkono mmoja
"Naitwa Manuu a.k a Miss peppy
"Kampuni la Nike linatafuta bodyguard kwa ajili ya kumuwekea ulinzi CEO fika haraka ofisini kwetu please usipitwe na hii bahati" Mmoja wa Wanaume hawa alizungumza akionekana kunikubali kinyama
Niliachia tabasamu baada ya kuona wamenikubali.....nilirudi kusimama nilipokuwa.
Muda ulizidi kwenda, nilirudia kupiga simu tena, bahati nzuri gari lilifika kunichukua
Ushuzi ulitaka kunipita baada ya kukutana macho kwa macho na Mwanaume niliyempiga ngumi katika hotel ya little star kwa kosa la kuniita panya
"A big looser.....rudi Kijijini kwenu nafasi hii nitampa mwingine" Mwanaume huyu aliongea kisha akaondoa gari
Manuu Mimi limenikuta
Ni mwaka wa kuforce huu siwezi kurudi nyumbani kwa aibu
Nikiwa nimetulia kwenye seat, nilipatiwa jarida nijisomee huku safari ikiendelea....ukurasa wa tatu ulikuwa na picha ya Kijana mzuri kupita maelekezo sikutaka kujua habari inaongelea nini nilichana huo ukurasa kisha nikautia kwenye mfuko wa suruali yangu
Mapigo ya moyo wangu yalizidi kwenda juu kila ni kifikiria muonekano wa kijana kwenye picha
"Tumefika.....sogea hapo getini Walinzi watakupa maelekezo" Dreva aliongea
Nilishuka haraka ni kihofia kudaiwa ukurasa wa gazeti niliouchana
Cha ajabu sura iliyokuwa kwenye gazeti nilikutana nayo kwenye bango kubwa lililoandikwa "just do it"
Moyo wangu ulilipuka hasa nikimtazama Mwanaume huyu aliyeshikiria kiatu mkono wake wa kulia
"Can you marry me?" Nilijikuta nikiiuliza pich
*MMISS PEPPY
"Wee ng'ombe sogea hapa, kulitazama tu hilo bango pesa inasoma do hurry please usikie bill unayotakiwa kulipa" Sauti iliyojaa dharau iliniita,
Nilianza kutembea haraka tena nikiwa na uoga wa hali ya juu lakini baada ya kukumbuka nimeitwa ng'ombe nilishikwa na hasira
"Umekuwa kobe mara hii!....fanya haraka kukaribia hapa au ni kufungulie Mbwa" Mlinzi huyu alizidi kunipanda kichwani
Mara nyingi nikiwa na hasira na sina cha kufanya huwa nalia
Kama nitasema nimuadhibu mtu huyu kwa kuniita ng'ombe sitaruhusiwa kuingia getini..... kwahiyo my zangu msishangae kwanini Manuu Mimi nimechagua kulia
Nikiwa katika kulia, gari kali aina ya Rolls_Royce Sweptail ilisimama getini, poleni ndugu zangu naelewa mmezoea kusikia majina kama Suzuki, Prados na mengineyo
Macho yangu yalitekwa
Aliacha maelezo getini kisha akaingia kwenye gari lake
Nilimsogelea Mlinzi aliyeachiwa maelekezo
"Nipo hapa kuwania nafasi ya bodyguard....nipeni fomu haraka nijaze
Nilikula kibao cha kichwa ni wazi kabisa niliongea upuuzi
"Hii sehemu inaogopeka na kila mtu. ..umepata wapi nguvu za kuleta pua lako hapa, ondoka haraka kabla sijakasirika sahau kuhusu deni nililotaka kukutajia....kama unataka kazi lifuate hilo gari" Mlinzi huyu alizungumza huku akinipandisha kwa kunikadiria
Nilisikia uchungu mkali kupita kiasi kwa jibu nililopatiwa, poor me
Sikutaka kujua habari kuhusu begi langu, nilifunga vizuri kamba za viatu vyangu.....nilivuta pumzi kidogo kisha nikatoka mbio mfano wa risasi
Nilianza kulifukuzia gari lilitoka hapa dakika 10 zilizopita ni kiamini nitapata kazi
Sura ya Mr. Handsome aliyekuwa kwenye bango ilinichanganya.....sitaki kujua kama yeye ni ghost au an Angel nachotaka Mimi ni kumuwekea Ulinzi....kadiri nilivyozidi kukimbia ndivyo nilipata nguvu ya kujiona nastahili kuwa bodyguard.....nilifanikiwa kulifikia gari
Nililitangizia kwa mbele huku mapigo ya moyo wangu yakienda juu
Kioo cha gari kilishushwa....kwa mara nyingine tena nilimuona Mr. Handsome
"Nipo na haraka ondoa hiyo takataka" Mr. Handsome aliongea, moyo wangu uliumia
Walinzi wake watatu walinisogelea, hii ndio ilikuwa nafasi pekee ya Mimi kulitangaza jina langu kama Miss peppy
Niliwasalimu
"Naomba niwe bodyguard wako....." Niliongea nikiwa nimetazama chini
*MISS PEPPY
"Naomba tuzungumze siku nyingine kuhusu kazi...kuna sehemu moja muhimu sana nawahi" Mr. Handsome aliongea
Jibu lake lilinikatisha tamaa
6
Huwezi kuamini mlango ulifunguliwa kisha Mr. Handsome alinipa ishara ya kuingia.
My cupcakes, sitaki kujua naenda kufa au kutupwa kusikojulikana
Nilitegemea kuulizwa hey Mama panya kwanini ulichana huu ukurasa? But haikuwa hivyo
Walinzi wake waliingia pia, safari iliendelea....kila mtu niliyemtazama alionekana kuwa bize na simu yake kuliko kawaida.
Muda wote Mr. Handsome alikuwa na kazi ya kupokea na kukata simu.
Kwa muonekano tu alikuwa amechoka sana.... kujipendekeza siyo dhambi au mnasemaje washikaji
Mwanzo alinikatalia, nikataka kukata tamaa lakini Mlinzi wake mmoja alinipa ishara ya kuendelea
Guys! niliendelea na hili zoezi mpaka tulipofika uwanja wa ndege
Tulishuka kwenye gari kisha tukakaa kwenye6 viti vilivyokuwa hapa airport special kwa kusubiria wageni
Niliendelea kujipendekeza kwa Mr. Handsome
Ghafla tu nilimuona akiachia tabasamu
Kuna sauti iliniambia Manuu turn about
Niliitia hii sauti, niliacha kufuta viatu ni kageuka nyuma
My zangu
Sijui Mr. Handsome alisimama saa ngapi kwenye kiti chake.... kufumba na kufumbua nilishuhudia watu wamekumbatiana
"Axel hukuwa na haja ya kuja hapa, sitaki kuamini umeharibu ratiba zako just for me" Binti mrembo kuliko wote duniani alizungumza kwa kudeka
Nilitumia nafasi hii kujipendekeza zaidi ingawa roho yangu ilikuwa inauma, nilimbebea begi lake dogo ambalo Walinzi wengine hawakuliona
"Naitwa Manuu, call me Miss peppy
*MISS PEPPY
"Naitwa Babeth....nimefurahi kuona my man kaajiri bodyguard wa kike" Babeth aliongea huku akiachia tabasamu
Aki! kuna watu wazuri duniani, kama ni kiwatumia picha yake am sure mtaigeuza kuwa hirizi ya bahati
Mapigo ya moyo wangu yalisimama
Nilijikuta ni kiikumbuka ile siku nimepigiwa simu kuhusu kushiriki pia..I don't know nani alinifanyia application, maybe ni washikaji wangu
"Kila kitu nitasitisha siku ya kesho, ni lazima nije kuku support" Axel au Mr. Handsome alimuambia sukari wa moyo wake kisha akanigeukia Mimi
"Bado sija kuapprove kuwa bodyguard wangu for the time being siyo mbaya ukiambatana na Mimi" Axel aliniambia
Nilitikisa kichwa ni kijua kabla siku tatu hazijaisha atanikubali
Axel alimpeleka Babeth katika hotel ya kifahari kwa ajili ya kupumzika....kuna namna moyo wangu ulikuwa unawaka moto mwekundu
Nilitaka kumfuata lakini alinizuia, guys niliambiwa nibaki kumsaidia Babeth....in short niligeuka kuwa maid wake
Mrembo huyu hakuwa anajua chochote zaidi ya kuremba uso wake, siyo kwamba alikuwa anaigiza...na si kwamba namchongea
Just Imagine hata kufungua chupa ya maji ni mahangaiko tu....niliamua kutumia nafasi hii kujipendekeza, always Miss peppy
Hakika uchawi upo bwana, sijui ni nini kilitokea ule ukurasa niliouchana kwenye gazeti la dreva wenye sura ya Mr. Handsome
Isome yote kwa kulipia Tsh 1000
WhatsApp 0742133100