Kasomi
JT Founder
Rais wa Uganda Yoweri Museveni alifundisha Chuo cha Ushirika Moshi na pia ashawahi kusoma UDSM
Elimu
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Museveni alisoma Shahada ya Uchumi na Sayansi ya Siasa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania (1967–1970). Hapo ndipo alipoanza harakati za kimapinduzi na kukutana na itikadi za Pan-Africanism.
Mwalimu nchini Tanzania: Kabla ya kuingia msituni, aliwahi
Kazi
Museveni alishawahi kufundisha katika Chuo cha Ushirika Moshi (Moshi Co-operative College) kwa sasa university nchini Tanzania mwaka 1972.
Elimu
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Museveni alisoma Shahada ya Uchumi na Sayansi ya Siasa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania (1967–1970). Hapo ndipo alipoanza harakati za kimapinduzi na kukutana na itikadi za Pan-Africanism.
Mwalimu nchini Tanzania: Kabla ya kuingia msituni, aliwahi
Kazi
Museveni alishawahi kufundisha katika Chuo cha Ushirika Moshi (Moshi Co-operative College) kwa sasa university nchini Tanzania mwaka 1972.