Kasomi
JT Founder
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kakonko anawatangazia waombaji wa nafasi za wasimamizi wa vituo vya kupiga kura, wasimamizi wasaidizi na makarani waongozaji kufika kwenye usaili tarehe 08/10/2025 saa 3:00 asubuhi katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini ikiambatana na majina ya wale walioitwa kwenye usaili. Tafadhali fungua faili hapa chini;
Bonyeza ha chini kuona Majina hayo
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA KAKONKO
Bonyeza ha chini kuona Majina hayo
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA KAKONKO